Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Je nini hatma ya wote hawa waliodaiwa kugawiwa hela za Escrow na James Rugemalira wa IPTL?
Je hao watu walioitwa majizi na Mh. Tundu Lissu bungeni ndio tuhuma zilizowakabili zimefutwa na sasa nao hawana hatia?
Je hii ina maana gani zaidi ya kwamba hizo hela walizovuna zilikuwa halali zao!
Je kitendo hicho kimetoa funzo na tafsiri gani kwa wananchi walipa kodi wa taifa hili?