Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Kwa kuangalia sasa hakuna ajira labda kijana asome Sana GPA ije imbebe wakati ushindani Ni mkubwa wakati wa ajira.
Matokeo yake wenye GPA kubwa wakirudi mtaan hana focus tena na wenye GpA 2.0-3.2 ndio wenye makampuni.
Je, bado Kuna haja ya kusoma kea ajili ya GPA Kali 4.5 - 5.0.
Nawasilisha
Matokeo yake wenye GPA kubwa wakirudi mtaan hana focus tena na wenye GpA 2.0-3.2 ndio wenye makampuni.
Je, bado Kuna haja ya kusoma kea ajili ya GPA Kali 4.5 - 5.0.
Nawasilisha