Kwa baadhi ya mambo ina mata sana. Sio yote.Kwa kuangalia sasa hakuna ajira labda kijana asome Sana GPA ije imbebe wakati ushindani Ni mkubwa wakati wa ajira.
Matokeo yake wenye GPA kubwa wakirudi mtaan hana focus tena na wenye GpA 2.0-3.2 ndio wenye makampuni.
Je, bado Kuna haja ya kusoma kea ajili ya GPA Kali 4.5 - 5.0.
Nawasilisha
Naungana na wewe.Ukiwe sehemu yoyote jaribu kuachieve the best usifanye ilimradi tu.
Kufanikiwa kupo tu
Inaweza kuwa na msaada na inaweza isiwe na msaada.Kwa kuangalia sasa hakuna ajira labda kijana asome Sana GPA ije imbebe wakati ushindani Ni mkubwa wakati wa ajira.
Matokeo yake wenye GPA kubwa wakirudi mtaan hana focus tena na wenye GpA 2.0-3.2 ndio wenye makampuni.
Je, bado Kuna haja ya kusoma kea ajili ya GPA Kali 4.5 - 5.0.
Nawasilisha
Kazi tunapata kwa kueleza kiufasaha na sio GPA ndio maana kuna written and oral interview.Niko na GpA ya 3 je naweza pata ajira kweli?, kwenye kampuni au ata serikalini.
Koz niliyosoma kilimo biashara
Wale wenye GPA za gentlemeni utawajua tu.Kwa kuangalia sasa hakuna ajira labda kijana asome Sana GPA ije imbebe wakati ushindani Ni mkubwa wakati wa ajira.
Matokeo yake wenye GPA kubwa wakirudi mtaan hana focus tena na wenye GpA 2.0-3.2 ndio wenye makampuni.
Je, bado Kuna haja ya kusoma kea ajili ya GPA Kali 4.5 - 5.0.
Nawasilisha