Je, Bagamoyo Port itakuja kuwa White Elephant Port?

Je, Bagamoyo Port itakuja kuwa White Elephant Port?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Nadhani Huo Mkataba utafanyiwa variation. Kuna mambo mengi yameshabadilika. Bandari ya Dar es Salaam upanuzi umeshaanza au kukamilika, bandari ya Tanga kuna jambo linaendelea pale.

Kwamba tulikuwa tunauhitaji mradi huo hilo lilikuwa bayana. Tatizo lilikuwa ktk terms and coditions.

Hata Rais Magufuli alizungumzia uhitaji wa kurekebisha terms and conditions kwamba zikienda hivyo zilivyokuwa, maslahi kwetu yangekuwa madogo.

Mimi suala langu kubwa ni our Export Capacity Utilisation, Je, tumeanza kuchukua hatua kuweza kunufaika na bandari hiyo kwa ajili ya exports au itakuwa bandari ya kushushia Imports zaidi?

Lakini pia huenda tukahitaji ujenzi mkubwa wa dedicated Railways na Access and exit roads kwenda na kutoka bandari hiyo, ambazo hazitatumia conventional passages tulizo nazo. Sisi tumejipangaje kuliona na kulitekeleza hilo, hizo ndizo changamoto.

Tusije kujenga a White Elephant Port yenye capacity kubwa ambayo hatutaweza kuifikia kwa muda mrefu ujao.

Bandari ya Dar es Salaam kwa sasa ni ndogo sana kwa ustawi wa Uchumi hasa ukizingatia kuwa tumeshaingia uchumi wa kati, tunatakiwa kwenda juu zaidi. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mimi sipingi Bandari ya Bagamoyo kujengwa ila kwa sasa tusubiri mpaka pale tutakapo imarisha na kuongeza ufanisi ktk bandari ya DSM, tuimarishe vitendea kazi vya kisasa na watendaji weledi na waadilifu, tuzibe myanya yote ya upotevu wa mapato,myanya ya rushwa.

Tuongeze ukusanyaji wa kodi. tukisha dhibiti kikamilifu Bandari ya DSM basi hapo tunaweza elekeza nguvu na maarifa yetu Bagamoyo lkn kwa sasa hapana, kwanza tujenge uwezo ktk suala la usimamizi.

Tabu yetu Watanzania tunajijua; tamaaa ya kuiba kula rushwa na ubadhirifu ndio maana tumechelewa kupiga hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe aliona wivu Bagamoyo ikiendelea.....akawa bize kuendelea pori lake la chato.....jiwe alikuwa ana roho mbaya kama sumu
Haswaaa! Jiwe roho mbaya ilikuwa inamsumbua. Ndiyo maana na korona ikatufanyia wepesi.
 
Kuna tatizo gani ikiwa bandari ya imports tu ?
 
Ukiangalia michango wa wahuni wengi wa mitandaoni utagundua wengi wanachangia kwa utashi wao aidha wa kumchukia JPM si kitu kingine ukiwauliza wakupe sababu ya kwa nini tuwe na bandari Bagamoyo na wkt tunayo ya Dsm yenye uwezo wa kupark meli 11 kwa pamoja na yenye vitendea kazi vya kisasa Ticts pekee ana SSG 6 na TPA analeta SSG ambapo utendaji wake ni mkubwa sana kwani kazi ya Bandari ni kupakia au kupakua mizigo tu hzo zingine ni mbwembwe tu.

Wachina siku zote ni watu wajanja wajanja sana hakuna mwekezaji yeyote Duniani anaweza kubali akawekeza then akaruhusu na ww urun kitu kile kile atafungua Bandari yake then ataweka tariffs, facility tariffs and service tariffs ndogo hakuna mwenye meli au shipping line itakayokubali kuleta meli yake DSM port ni sawa sasa ulete shirika lingine la Umeme Tanzania then uone kama hili shirika letu litaendelea kuwepo hakuna kampuni au taasisi ya serikali Tanzania iliyoweza kufanya kazi kwa ushindani Tanzania ikaendelea kiwepo zaidi ya kujiendesha kwa hasara na hapo ndo utakuwa mwisho wa POD
 
Endeleeni kushindani na marehemu, ninaisubiri siku ambayo mtaanza kumkumbuka na kumuomba msamaha, kumsema vibaya marehemu hakuwezi kuondoa ukweli ambao wananchi wanaujua kuhusu rais Magufuli, lakini mjue mpinzani wenu saizi ni Samia na sio Magufuli tena yeye ameshatangula mahali ambapo sote tutaenda na hawezi kujibu hizo hoja zenu mnazoibua.
 
Nadhani Huo Mkataba utafanyiwa variation. Kuna mambo mengi yameshabadilika. Bandari ya Dar es Salaam upanuzi umeshaanza au kukamilika, bandari ya Tanga kuna jambo linaendelea pale.

Kwamba tulikuwa tunauhitaji mradi huo hilo lilikuwa bayana. Tatizo lilikuwa ktk terms and coditions.

Hata Rais Magufuli alizungumzia uhitaji wa kurekebisha terms and conditions kwamba zikienda hivyo zilivyokuwa, maslahi kwetu yangekuwa madogo.

Mimi suala langu kubwa ni our Export Capacity Utilisation, Je, tumeanza kuchukua hatua kuweza kunufaika na bandari hiyo kwa ajili ya exports au itakuwa bandari ya kushushia Imports zaidi?

Lakini pia huenda tukahitaji ujenzi mkubwa wa dedicated Railways na Access and exit roads kwenda na kutoka bandari hiyo, ambazo hazitatumia conventional passages tulizo nazo. Sisi tumejipangaje kuliona na kulitekeleza hilo, hizo ndizo changamoto.

Tusije kujenga a White Elephant Port yenye capacity kubwa ambayo hatutaweza kuifikia kwa muda mrefu ujao.

Bandari ya Dar es Salaam kwa sasa ni ndogo sana kwa ustawi wa Uchumi hasa ukizingatia kuwa tumeshaingia uchumi wa kati, tunatakiwa kwenda juu zaidi. [emoji120][emoji120][emoji120]
Chini ya awamu ya tano hakuna mradi hata mmoja uliofanikiwa.

1. UDART - Dar es Salaam umefeli vibaya
2. Ujenzi wa masoko nchi nzima hii yote ni miradi isiyo na faida kwa watanzania.
3. Ununuzi wa ndege - Hapa hasara hailezeki huku kukiwa na usiri kwenye ununuzi.
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege chato- Sitaki kuzungumza kabisa
5.Ujenzi wa barabara kipande cha Morocco--alipoingia akasema amefuta maadhimisho ya sikukuu ya uhuru hela zikajenge barabara ya Morocco ndani ya miaka 2 barabara hiyo hiyo ikabomolewa ijengwe tena.
6. Ujenzi wa stand za mikoa- Stendi nyingi zimejengwa kwa kutaka sifa na sio kuangalia uhitaji wa eneo husika. Mfano stendi ya mabasi Dodoma na Songea.
7. Bwawa la umeme la Nyerere linajengwa sio kwa merit zake ila kujustfy usitishaji wa mradi wa gesi ulioasisiwa na JK.
8. Ubungo interchange- Tulichoaminishwa kwenye michoro ni tofauti na kinachoonekana.
9. Kuhamia Dodoma - Ilikuwa ni kujenga mtu kisiasa kuliko maslahi ya kitaifa.
Elimu bure- Hili likiendelea Tanzania itazalisha taifa la wajinga wenye vyeti.
10. Ajira na Mishahara- Hapa ni -100%

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani Huo Mkataba utafanyiwa variation. Kuna mambo mengi yameshabadilika. Bandari ya Dar es Salaam upanuzi umeshaanza au kukamilika, bandari ya Tanga kuna jambo linaendelea pale.

Kwamba tulikuwa tunauhitaji mradi huo hilo lilikuwa bayana. Tatizo lilikuwa ktk terms and coditions.

Hata Rais Magufuli alizungumzia uhitaji wa kurekebisha terms and conditions kwamba zikienda hivyo zilivyokuwa, maslahi kwetu yangekuwa madogo.

Mimi suala langu kubwa ni our Export Capacity Utilisation, Je, tumeanza kuchukua hatua kuweza kunufaika na bandari hiyo kwa ajili ya exports au itakuwa bandari ya kushushia Imports zaidi?

Lakini pia huenda tukahitaji ujenzi mkubwa wa dedicated Railways na Access and exit roads kwenda na kutoka bandari hiyo, ambazo hazitatumia conventional passages tulizo nazo. Sisi tumejipangaje kuliona na kulitekeleza hilo, hizo ndizo changamoto.

Tusije kujenga a White Elephant Port yenye capacity kubwa ambayo hatutaweza kuifikia kwa muda mrefu ujao.

Bandari ya Dar es Salaam kwa sasa ni ndogo sana kwa ustawi wa Uchumi hasa ukizingatia kuwa tumeshaingia uchumi wa kati, tunatakiwa kwenda juu zaidi. [emoji120][emoji120][emoji120]
Mradi wa Bagamoyo port mnauelewa kwa undani. Mnaelewa maana ya industrial port?
 
Hata ikiwa White elephant siyo hasara kwa serikali, kwasababu kwenye huo mradi serikali haichangii hata 100
Kwa hiyo serikali kutochangia hata 100 huo ndo umeona ujanja.....yaani mtu akujengee nyumba usitoe hata 100 halafu uendelee kuamini akilini mwako kwamba hiyo nyumba ni yako, huoni hapa kuna kiini macho.....
 
Kwa hiyo serikali kutochangia hata 100 huo ndo umeona ujanja.....yaani mtu akujengee nyumba usitoe hata 100 halafu uendelee kuamini akilini mwako kwamba hiyo nyumba ni yako, huoni hapa kuna kiini macho.....
Jamaa ana akili za Ajabu
 
Kwa hiyo serikali kutochangia hata 100 huo ndo umeona ujanja.....yaani mtu akujengee nyumba usitoe hata 100 halafu uendelee kuamini akilini mwako kwamba hiyo nyumba ni yako, huoni hapa kuna kiini macho.....
Unajua maana ya White elephant ?
 
Nadhani Huo Mkataba utafanyiwa variation. Kuna mambo mengi yameshabadilika. Bandari ya Dar es Salaam upanuzi umeshaanza au kukamilika, bandari ya Tanga kuna jambo linaendelea pale.

Kwamba tulikuwa tunauhitaji mradi huo hilo lilikuwa bayana. Tatizo lilikuwa ktk terms and coditions.

Hata Rais Magufuli alizungumzia uhitaji wa kurekebisha terms and conditions kwamba zikienda hivyo zilivyokuwa, maslahi kwetu yangekuwa madogo.

Mimi suala langu kubwa ni our Export Capacity Utilisation, Je, tumeanza kuchukua hatua kuweza kunufaika na bandari hiyo kwa ajili ya exports au itakuwa bandari ya kushushia Imports zaidi?

Lakini pia huenda tukahitaji ujenzi mkubwa wa dedicated Railways na Access and exit roads kwenda na kutoka bandari hiyo, ambazo hazitatumia conventional passages tulizo nazo. Sisi tumejipangaje kuliona na kulitekeleza hilo, hizo ndizo changamoto.

Tusije kujenga a White Elephant Port yenye capacity kubwa ambayo hatutaweza kuifikia kwa muda mrefu ujao.

Bandari ya Dar es Salaam kwa sasa ni ndogo sana kwa ustawi wa Uchumi hasa ukizingatia kuwa tumeshaingia uchumi wa kati, tunatakiwa kwenda juu zaidi. [emoji120][emoji120][emoji120]
Chatto
 
Back
Top Bottom