mwenebhukabho
Member
- Jul 11, 2015
- 6
- 5
Le mutuz aliwahi kuwa mpishi kwenye meli ya Wagiriki, msubiri atakuja kukupa info.
[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji31]Le mutuz aliwahi kuwa mpishi kwenye meli ya Wagiriki, msubiri atakuja kukupa info.
Si unajua hata sisi huku kwetu jeshini hata ukiwa mpishi tu, au kazi yako ni kuimba imba tu unaitwa mwanajeshi, wengine wanakuwa na vyeo kabisa kama vile hayati captain John KombaLe mutuz aliwahi kuwa mpishi kwenye meli ya Wagiriki, msubiri atakuja kukupa info.
Wadau nimekua nikiuliza maswali kwa watu mbali mbali juu ya ubaharia.sijui ni kazi ya namna gani,wana majukumu gani,wanasomea wapi na pia wanalipwa nini!?wajuzi wa mambo tujuzane maana kila mtu anajiita baharia ili aonekane mjanja.
Naomba tuelekezane.
Nashukuru maana hata Mimi nikijua hivyo lakini nikashangaa wanaoitwa hawafanani na meli Wala botNi msem uliozuka tuu mkuu lakini kikawaida mabaharia ni wafanyakazi wazamiaji wa meli ambao huhusika zaidi na uokoz na kazi nyingine nyingi katika meli
lakini kwa sasa msemo kam.mingine iliyokwisha kupitaa
Ndio hivyo mkuuu mbong kila.kukicha analeta mapyaNashukuru maana hata Mimi nikijua hivyo lakini nikashangaa wanaoitwa hawafanani na meli Wala bot
Nimekubali kiongoziNdio hivyo mkuuu mbong kila.kukicha analeta mapya
Mabaharia mbona ni trend ya mwaka nyuma ishapotea wewe utakuwa ni mtu wa 2G au Time Travel.Wana jf naomba mnijuze hivi MABAHARIA Ni akina Nani na wanafanya kazi gani
Mana Kila nikipita kwenye social media hili neno limetrend Sana siku hizi.
Mnisaidieeee
Kwa hiyo nimepitwa na wakati!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabaharia mbona ni trend ya mwaka nyuma ishapotea wewe utakuwa ni mtu wa 2G au Time Travel.
Sawaamabaharia tupo hapa bar mianzini tunachamba koo na faru joni...karibu
Time Travel πππππ TENET au Back from the Future.Mabaharia mbona ni trend ya mwaka nyuma ishapotea wewe utakuwa ni mtu wa 2G au Time Travel.