Je, baharia ni nani?

Je, baharia ni nani?

Mabaharia ni wanaume wote wenye uwezo wa kuchepuka nje ya ndoa au ajaoa lakini ana demu kabla ya ndoa kwa iyo mademu wanakua Kama meli na gest ni bahari Kuna baharia wa nchi kavu na wa baharini wale ndo wanaendaga na meli vyombo vya moto
 
Papuchi unaijua? ,Kupima oil je, kwa mpalange?, Khumbu je unamjua?,pisi kali je? ,Baharia hutujui sis tunashinda kila siku humu
 
Mabaharia ni wanaume wote wenye uwezo wa kuchepuka nje ya ndoa au ajaoa lakini ana demu kabla ya ndoa kwa iyo mademu wanakua Kama meli na gest ni bahari Kuna baharia wa nchi kavu na wa baharini wale ndo wanaendaga na meli vyombo vya moto
Nimejifunza mengi leo
 
Papuchi unaijua? ,Kupima oil je, kwa mpalange?, Khumbu je unamjua?,pisi kali je? ,Baharia hutujui sis tunashinda kila siku humu
Yaani mheshimiwa ndio umezidi kunivuruga daaa au ndio dalili za uzee ndio maana siyajui
 
Back
Top Bottom