Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]kwa ujumla hawafaiBaharia - wabinafsi wenye umimi, bahiri na sio waoaji wanahusika hasa ujuaji mwingi kumbe empty brain.
Neno kuhathirika na kileleni siku hizi ni tafsida
Kabla sijajibu.Wana jf naomba mnijuze hivi MABAHARIA Ni akina Nani na wanafanya kazi gani
Mana Kila nikipita kwenye social media hili neno limetrend Sana siku hizi.
Mnisaidieeee
Nimejifunza mengi leoMabaharia ni wanaume wote wenye uwezo wa kuchepuka nje ya ndoa au ajaoa lakini ana demu kabla ya ndoa kwa iyo mademu wanakua Kama meli na gest ni bahari Kuna baharia wa nchi kavu na wa baharini wale ndo wanaendaga na meli vyombo vya moto
Iiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha mm mwenyewe nimekuwa baharia wa kike[emoji28][emoji28]...kuja twende ng'ambo
Sijaelewa mkuuNeno kuhathirika na kileleni siku hizi ni tafsida
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]mama wee inasikitisha sanaMixer kwa mpalange
SikataiKabla sijajibu.
Mkuu upo outdated sana na mitandao ya kijamii, kwa sababu msemo huo usha expire
Yaani mheshimiwa ndio umezidi kunivuruga daaa au ndio dalili za uzee ndio maana siyajuiPapuchi unaijua? ,Kupima oil je, kwa mpalange?, Khumbu je unamjua?,pisi kali je? ,Baharia hutujui sis tunashinda kila siku humu