kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Mojawapo ya mipango madhubuti chini ya Hayati Dkt. John Magufuli ilikua uanzishaji bandari kavu Kibaha ili kuhamisha shughuli ya uchukuaji mizigo ya ma-container nje ya bandari.
Kusudi la mradi huo ni ili kuondoa msongamano wa malori katikati ya jiji na pia kuondoa msongamano bandari ya Dar es Salaam. Mizigo kwa macontainer ingepelekwa kibaha kwa reli kwa hivyo malori yangeishia kibaha badala ya kuja bandari ya DSM.
Mpango huu utekelezaji huenda ukaenda na mwendazake. Kuna watu hawataki mabadiliko kutokana na jinsi walivyowekeza na mazoea.
Hata kama mipango inahusika vipi kukuza ufanisi na maendeleo wao wataangalia tu maslahi binafsi na kuhujumu mipango ya maendeleo.
Mpango wa bandari kavu kibaha ni wa kimaendeleo sana wahujumu wowote wapigwe vita na kutimuliwa bila kusita.
Kusudi la mradi huo ni ili kuondoa msongamano wa malori katikati ya jiji na pia kuondoa msongamano bandari ya Dar es Salaam. Mizigo kwa macontainer ingepelekwa kibaha kwa reli kwa hivyo malori yangeishia kibaha badala ya kuja bandari ya DSM.
Mpango huu utekelezaji huenda ukaenda na mwendazake. Kuna watu hawataki mabadiliko kutokana na jinsi walivyowekeza na mazoea.
Hata kama mipango inahusika vipi kukuza ufanisi na maendeleo wao wataangalia tu maslahi binafsi na kuhujumu mipango ya maendeleo.
Mpango wa bandari kavu kibaha ni wa kimaendeleo sana wahujumu wowote wapigwe vita na kutimuliwa bila kusita.