Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe juu yenu wakuu
Nimebahatika kuona video fupi ya msanii tumain ngerela AKA DUDUBAYA akiomba msamaha.
Anaonekana kabisa kalazimishwa na watu fulan afanye hivyo, ukisikiliza vizur anaomba msamaha kwa jamhur ambayo anaitaja jina kuwa ni Tanzania na anaomba msamaha kwa baraza nalo pia analitaji jina kuwa ni basata pia anaomba msamaha kwa wananchi nao anawataja kuwa ni watanzani anafika kuiomba msamaha familia ambayo haitaji jina kuwa ni familia ya nan wa wapi na iko wapi.
Je huyu jamaa kalazimishwa ili aachiwe kifungo chake au kuna nini maana juzi aliitwa basata na akatakiwa aende na ada anayodaiwa
Kwanini anaomba msamaha kwa familia isiyojulikana je familia hiyo ni ya nan na kaikosea nini?
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimebahatika kuona video fupi ya msanii tumain ngerela AKA DUDUBAYA akiomba msamaha.
Anaonekana kabisa kalazimishwa na watu fulan afanye hivyo, ukisikiliza vizur anaomba msamaha kwa jamhur ambayo anaitaja jina kuwa ni Tanzania na anaomba msamaha kwa baraza nalo pia analitaji jina kuwa ni basata pia anaomba msamaha kwa wananchi nao anawataja kuwa ni watanzani anafika kuiomba msamaha familia ambayo haitaji jina kuwa ni familia ya nan wa wapi na iko wapi.
Je huyu jamaa kalazimishwa ili aachiwe kifungo chake au kuna nini maana juzi aliitwa basata na akatakiwa aende na ada anayodaiwa
Kwanini anaomba msamaha kwa familia isiyojulikana je familia hiyo ni ya nan na kaikosea nini?
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app