Je, Ben pol na Anerlisa wamefunga ndoa?

Je, Ben pol na Anerlisa wamefunga ndoa?

Ndoa ilifungwa kitambo sana( mwaka jana mwanzobi),ilifanyika nairobi,mzee wa ben pol ni rafiki yangu wa karibu alinunuliwa suti moja matata toka italy,walitumiwa ticket yeye na mkewe kwenda nairobi kwenye ndoa na harusa,kwa hiyo huyo demu ni mke halali kabisa wa ben
 
Mashabiki wa Msanii wa muziki wa BongoFleva, @iambenpol wamekuwa na shauku ya kutaka kufahamu iwapo msanii huyo amefunga ndoa na mpenzi wake @anerlisa kutokea nchini Kenya.

Katika mitandao kumekuwepo na picha inawaonyesha wawili hao wakiwa katika pozi linaloweza kutafsiriwa kama maharusi Lakini mpaka sasa hakuna yeyote kati yao aliyeshare picha za harusi wala kuthibitisha swala hilo .

JE, WAWILI HAO WAMEAMUA KUWEKA SIRI KUHUSU NDOA YAO ?
Una mahusiano na mmoja kati yao such that unataka kuwawekea pingamizi ?
 
Ndoa ilifungwa kitambo sana( mwaka jana mwanzobi),ilifanyika nairobi,mzee wa ben pol ni rafiki yangu wa karibu alinunuliwa suti moja matata toka italy,walitumiwa ticket yeye na mkewe kwenda nairobi kwenye ndoa na harusa,kwa hiyo huyo demu ni mke halali kabisa wa ben
Asante kaka, kwa taarifa
 
Back
Top Bottom