Membe S K
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 1,389
- 1,253
Benki zetu Tz wanaibia wateja kwa kuchukuwa advantage ya uchanga wa ushindani katika sekta binafsi. Kwa maoni yangu.
Ku-charge matumizi ya ATM zilizowekwa na benki yenyewe ni kiashiria wazi cha wizi wa benki zetu. Lengo la ATMs kwa mtazamo wa kibenki ni kupunguza gharama za kuajili tellers na kupunguza masaa ya ku-oparate benki huku zikihudumia mteja anayehitaji cash masaa 24. Kwa mantiki hii, ku-charge mteja anayetumia ATM ni wizi 100% kwasababu mteja huyu angekwenda benki, manager wa benki angetakiwa kumwajiri teller ambaye atamlipa mara dufu (ATM sio assets za benki bali ni substitute za tellers ambazo zinapunguza garama za kuendesha benki). Banks should be thankful that wateja wanatumia ATM badala ya kwenda Benki.
Benk katika nchi zilizoendelea sasa zinajaribu ku-automate hata shughuli nyingine za kibenki anazohitaji mteja kama vile manunuzi ya fedha za kigeni, ufunguzi wa account, ulipaji wa bili kwa mteja, na uhamishaji wa fedha kutoka account moja kwenda nyingine..hii yote nikujaribu kukata gharama za kuendesha benki na hivyo kuongeza faida. Kutoza shughuli hizi na zile za ATM ni wizi 100%.
Tatizo Tz bado ushindani wa kibihashara ni almost zero (which defines profit margin), na mteja ndio mteswa katika hali kama hii. Benki zetu zote, comfortably, zimekuwa ziki act oligopolistic na hadi hapo zitakapokuwa zinahofia ushindani ndipo zitaacha ku-archage huduma kama ATM, n.k.
Ku-charge matumizi ya ATM zilizowekwa na benki yenyewe ni kiashiria wazi cha wizi wa benki zetu. Lengo la ATMs kwa mtazamo wa kibenki ni kupunguza gharama za kuajili tellers na kupunguza masaa ya ku-oparate benki huku zikihudumia mteja anayehitaji cash masaa 24. Kwa mantiki hii, ku-charge mteja anayetumia ATM ni wizi 100% kwasababu mteja huyu angekwenda benki, manager wa benki angetakiwa kumwajiri teller ambaye atamlipa mara dufu (ATM sio assets za benki bali ni substitute za tellers ambazo zinapunguza garama za kuendesha benki). Banks should be thankful that wateja wanatumia ATM badala ya kwenda Benki.
Benk katika nchi zilizoendelea sasa zinajaribu ku-automate hata shughuli nyingine za kibenki anazohitaji mteja kama vile manunuzi ya fedha za kigeni, ufunguzi wa account, ulipaji wa bili kwa mteja, na uhamishaji wa fedha kutoka account moja kwenda nyingine..hii yote nikujaribu kukata gharama za kuendesha benki na hivyo kuongeza faida. Kutoza shughuli hizi na zile za ATM ni wizi 100%.
Tatizo Tz bado ushindani wa kibihashara ni almost zero (which defines profit margin), na mteja ndio mteswa katika hali kama hii. Benki zetu zote, comfortably, zimekuwa ziki act oligopolistic na hadi hapo zitakapokuwa zinahofia ushindani ndipo zitaacha ku-archage huduma kama ATM, n.k.