johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba aliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo mh Bernard Membe atarejea CCM wakati wa mkutano mkuu maalum wa chama hicho mwishoni mwa mwezi huu.
Ngoja tuone.
Ngoja tuone.