MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
NakufataNatoa ushauri tu boss. Kama unahitaji mikopo kwenye taasisi za fedha naweza kukusaidia kuandaa nyaraka zote zinazohitajika na ukapata mkopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakufataNatoa ushauri tu boss. Kama unahitaji mikopo kwenye taasisi za fedha naweza kukusaidia kuandaa nyaraka zote zinazohitajika na ukapata mkopo
Karibu sana, ukiwa tayar nichek DMNakufata
hata mimi sijaelewa vizuri tafsiri ya hili neno kama ni dhulma ipo kwenyr biashara nyingi tuLaana ni nini?
😀 😀 Unajuaje kama hana laana au ziko njiani?Mtazame Jessica Kikumbi bila shaka utaona uzi wako wa kipumbavu
Jombe kwanza ni wapi.....Hivi ni kweli biashara ya bar na kumbi za starehe ina laana? Zamani nilikuwa na rafiki yangu mfanyabiashara aliyekuwa anaishi Chunya, Mbeya. Wakati huo, mimi nilikuwa katika biashara za magari, zote tukiwa tumerithi kutoka kwa wazazi wetu.
Katika mazungumzo yetu kuhusu maisha na biashara, nilimshauri kwamba, kwa kuwa alikuwa na fedha, angeweza kuanzisha sehemu ya starehe Chunya, kwani wakati huo hakukuwa na sehemu nzuri za starehe.
Alinijibu kwa urahisi na kusema, "Mwanangu, biashara ya bar ina laana. Chunguza familia ambazo ama baba, mama, au familia kwa ujumla wanamiliki biashara hiyo – wengi huishia kuharibikiwa, kufilisiwa, kuchoka, kufa na magonjwa ya aibu, au kupata ajali. Hakuna maisha marefu kwenye hiyo biashara, na usijaribu hata kufikiria."
Miaka ilipita, na rafiki yangu huyo aliaga dunia. Siku moja, nilikuwa kwenye sehemu ya starehe mjini Mbeya (City Pub), ambapo nilikutana na mfanyabiashara mwenzangu. Katika mazungumzo yetu, nilieleza kisa hicho kuhusu biashara za starehe. Naye alinipa ushauri mkubwa akisema kuwa biashara hiyo haina baraka, na hata alitoa mifano kutoka kwenye Biblia. Maneno yake yalinishtua na kuanza kujiuliza kama kweli biashara hii ina matatizo.
Nilichogundua ni kwamba:
Nilipenda sana siku moja kuwa na sehemu ya starehe hapa Jombe, lakini haya niliyoyaona na kusikia yanazidi kunitia shaka. Siku moja rafiki yangu Mhindi alinishauri kuwa na mawazo tofauti ya biashara na kuepuka bar, akidai kuna matatizo. Aliendelea kusema nifikirie biashara kama mgahawa mzuri lakini sio kuuza vileo.
- Biashara hii huvuma kwa muda mfupi na kisha hufa ndani ya miaka michache.
- Inahusisha dhuluma nyingi.
- Familia nyingi zimepoteana baada ya biashara hii kufilisika.
- Wengi huanza biashara hii, lakini wachache sana huweza kudumu.
- Ni vigumu kupata muda mwafaka wa kuendelea kuboresha biashara hiyo.
- Faida yake ni ndogo sana, na mtaji na faida havilingani.
- Matukio ya vifo vya wamiliki wake hufanana sana – iwe ni magonjwa, ajali, nk.
Nauliza kwenu: Biashara ya bar na kumbi za starehe huko kwenu imekaaje?
LAANA ni mambo ya kufikirika yasiyo na uhalisia, labda point ya ulipofafanua ya kuwa mtaji ni mkubwa na faida ni kidogo ina mashiko.Hivi ni kweli biashara ya bar na kumbi za starehe ina laana? Zamani nilikuwa na rafiki yangu mfanyabiashara aliyekuwa anaishi Chunya, Mbeya. Wakati huo, mimi nilikuwa katika biashara za magari, zote tukiwa tumerithi kutoka kwa wazazi wetu.
Katika mazungumzo yetu kuhusu maisha na biashara, nilimshauri kwamba, kwa kuwa alikuwa na fedha, angeweza kuanzisha sehemu ya starehe Chunya, kwani wakati huo hakukuwa na sehemu nzuri za starehe.
Alinijibu kwa urahisi na kusema, "Mwanangu, biashara ya bar ina laana. Chunguza familia ambazo ama baba, mama, au familia kwa ujumla wanamiliki biashara hiyo – wengi huishia kuharibikiwa, kufilisiwa, kuchoka, kufa na magonjwa ya aibu, au kupata ajali. Hakuna maisha marefu kwenye hiyo biashara, na usijaribu hata kufikiria."
Miaka ilipita, na rafiki yangu huyo aliaga dunia. Siku moja, nilikuwa kwenye sehemu ya starehe mjini Mbeya (City Pub), ambapo nilikutana na mfanyabiashara mwenzangu. Katika mazungumzo yetu, nilieleza kisa hicho kuhusu biashara za starehe. Naye alinipa ushauri mkubwa akisema kuwa biashara hiyo haina baraka, na hata alitoa mifano kutoka kwenye Biblia. Maneno yake yalinishtua na kuanza kujiuliza kama kweli biashara hii ina matatizo.
Nilichogundua ni kwamba:
Nilipenda sana siku moja kuwa na sehemu ya starehe hapa Jombe, lakini haya niliyoyaona na kusikia yanazidi kunitia shaka. Siku moja rafiki yangu Mhindi alinishauri kuwa na mawazo tofauti ya biashara na kuepuka bar, akidai kuna matatizo. Aliendelea kusema nifikirie biashara kama mgahawa mzuri lakini sio kuuza vileo.
- Biashara hii huvuma kwa muda mfupi na kisha hufa ndani ya miaka michache.
- Inahusisha dhuluma nyingi.
- Familia nyingi zimepoteana baada ya biashara hii kufilisika.
- Wengi huanza biashara hii, lakini wachache sana huweza kudumu.
- Ni vigumu kupata muda mwafaka wa kuendelea kuboresha biashara hiyo.
- Faida yake ni ndogo sana, na mtaji na faida havilingani.
- Matukio ya vifo vya wamiliki wake hufanana sana – iwe ni magonjwa, ajali, nk.
Nauliza kwenu: Biashara ya bar na kumbi za starehe huko kwenu imekaaje?
Yaah hata mimi hii kitu nimeiona kwa mleta uzi.Umetafuta Information za kuprove jambo unaloogopa kulifanya, Labda nikukumbushe TBL ni miongoni mwa makampuni yanayoongoza kuingiza pato kubwa la taifa...
Kivipi useme bar hailipi? Such a Coward