Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Ila na wewe unatafuta nini? Stories za kijiweni ndio unaenda kumfanyia mkeo majaribio? Kwani wewe ulivyompenda kigezo kilikuwa ni bikira? Na kama sio achana na hiyo biashara na ukome kumuuliza mkeo maswali ya kipuuzi. Saasawa?
 
Ila na wewe unatafuta nini? Stories za kijiweni ndio unaenda kumfanyia mkeo majaribio? Kwani wewe ulivyompenda kigezo kilikuwa ni bikira? Na kama sio achana na hiyo biashara na ukome kumuuliza mkeo maswali ya kipuuzi. Saasawa?
Mkuu mnaamin hyu bashite anamke??lijari gani unaweza muuliza mkeo upupu kma huo?yy mwnywe hajui hta bikra inatolewa vpi[emoji35] [emoji35]
 
Umemuona Paka na unamjua fika Paka halafu unamuuliza mwenzio huyu ni mnyama gani? Naye anajua fika unamjua huyo ni Paka, akikujibu kwa usahihi naye ni shidaaaa!!!
 
Mambo ya kuulizana bikra au wapenzi wa nyuma,
Akikihadithia yote utaweza vumilia?
Au ndio kila kosa unarefer nyuma
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…