Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Vyakula tunavyokula sasaivi vinaathari kubwa sana wengi hawajui msichana mdogo unakuta anamaziwa makubwa kutokana homoni zinazotolewa na tezindani zinazoleta vichocheo katika mabadiliko ya mwili ambazo zimeathiriwa na vyakula tunavyokula kama maziwa yanakuwa makubwa na huko chini unategemea patakuwa padogo au utaikuta iyo bikra sasaivi msichana ambaye hajawai kufanya lolote na msichana mtu mzima wote sawa tu saizi ile ile bikra zilikuwa zamani imebaki story tu
 
Mkuu kwani ww bikira itakusaidia nini? kama mmeshaoana, bikira ya kazi gani. maana sioni uhusiano kati ya ndoa na bikira

Kwani ww ulikua unataka mke au u anataka bikira
 
Mkuu hayo mambo ukitaka kufatilia utapata na mambo ambayo utakuja juta Mimi naamini hakuna bikira inayotoka bila mwanaume na asilimia 99.9 huwezi ukamkuta mwanamke anayo ilikuwa ezi xa wazee wetu mambo mengine tuyaache Kama yalivyo
 
Kutafuta bikra karne hii ni sawa na kutafuta vyeti vya Bashite
 
Mialienitoa hata ajui kama yeye ndio wakwanza niliendekeza saña kujichua
 
Kwani wewe unapenda kuulizwa idadi ya wasichana uliopita nao ?
 
Swali la kizushi na we ulikua bikra, mana mwanaume timamu anaoa mwanamke mwenye kujitambua akili mbele na c bikra, nakuna bikra zaina nying nenda kasearch aina za bikra utaziona sio lazima uone damu inatoka ndio ujue umetoa bikra nyingine zinatoka kwa kuendesha baiskel, kucheza netball kuruka na vingineo, afu ushasema MKE, hivi kujua hx ya nyuma inakusaidia nn nafikir ungeanzia hapo mlipoanzia na kuendelea na c ya nyuma, mana kama nawe ulikua bikra bas bora umulize afu pengine alikua jamaa mwingine akimzingua afu Leo unaulizia bikra huon unamumiza acha hizo habar na bikra iliyotoka yenyewe cku ya kwanza kuna ugumu wakufanya hilo tendo,vijana Wa mwendo kas MNA kaz
 
Alafu huo mda wa kuulizana hayo maswali unatoka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…