Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Vyakula tunavyokula sasaivi vinaathari kubwa sana wengi hawajui msichana mdogo unakuta anamaziwa makubwa kutokana homoni zinazotolewa na tezindani zinazoleta vichocheo katika mabadiliko ya mwili ambazo zimeathiriwa na vyakula tunavyokula kama maziwa yanakuwa makubwa na huko chini unategemea patakuwa padogo au utaikuta iyo bikra sasaivi msichana ambaye hajawai kufanya lolote na msichana mtu mzima wote sawa tu saizi ile ile bikra zilikuwa zamani imebaki story tu
 
Naombeni msaada,

Kwanza ni kweli bikra inaweza kutolewa bila mwanaume kumwingilia msichana na kwanini wadada wengi wanapoulizwa swali hili wanakuwa wakali sana mfano mke wangu kila nikimuuliza swali hili lazima uzuke ugomvi na kudai mtoaji ni mimi na hukasirika sana na kudai kama siamini basi nshakuwa na wanaume mia

Sasa swali ninalojiuliza kwanini anakuwa mkali na kuniambia ni mimi ndo mtoaji wakati sikuona dalili hizo for the first time.

SWALI HILI NAJUA WENGI WA WANAUME WANALO KICHWANI WANAWEZA KUWA MAJASIRI WAKAULIZA AU WAKAMEZA TU BILA KUULIZA
Mkuu kwani ww bikira itakusaidia nini? kama mmeshaoana, bikira ya kazi gani. maana sioni uhusiano kati ya ndoa na bikira

Kwani ww ulikua unataka mke au u anataka bikira
 
Mkuu hayo mambo ukitaka kufatilia utapata na mambo ambayo utakuja juta Mimi naamini hakuna bikira inayotoka bila mwanaume na asilimia 99.9 huwezi ukamkuta mwanamke anayo ilikuwa ezi xa wazee wetu mambo mengine tuyaache Kama yalivyo
 
Kutafuta bikra karne hii ni sawa na kutafuta vyeti vya Bashite
 
Mialienitoa hata ajui kama yeye ndio wakwanza niliendekeza saña kujichua
 
Kwani wewe unapenda kuulizwa idadi ya wasichana uliopita nao ?
 
Naombeni msaada,

Kwanza ni kweli bikra inaweza kutolewa bila mwanaume kumwingilia msichana na kwanini wadada wengi wanapoulizwa swali hili wanakuwa wakali sana mfano mke wangu kila nikimuuliza swali hili lazima uzuke ugomvi na kudai mtoaji ni mimi na hukasirika sana na kudai kama siamini basi nshakuwa na wanaume mia

Sasa swali ninalojiuliza kwanini anakuwa mkali na kuniambia ni mimi ndo mtoaji wakati sikuona dalili hizo for the first time.

SWALI HILI NAJUA WENGI WA WANAUME WANALO KICHWANI WANAWEZA KUWA MAJASIRI WAKAULIZA AU WAKAMEZA TU BILA KUULIZA
Swali la kizushi na we ulikua bikra, mana mwanaume timamu anaoa mwanamke mwenye kujitambua akili mbele na c bikra, nakuna bikra zaina nying nenda kasearch aina za bikra utaziona sio lazima uone damu inatoka ndio ujue umetoa bikra nyingine zinatoka kwa kuendesha baiskel, kucheza netball kuruka na vingineo, afu ushasema MKE, hivi kujua hx ya nyuma inakusaidia nn nafikir ungeanzia hapo mlipoanzia na kuendelea na c ya nyuma, mana kama nawe ulikua bikra bas bora umulize afu pengine alikua jamaa mwingine akimzingua afu Leo unaulizia bikra huon unamumiza acha hizo habar na bikra iliyotoka yenyewe cku ya kwanza kuna ugumu wakufanya hilo tendo,vijana Wa mwendo kas MNA kaz
 
Jaman bikra sio lazma itolewe na mwanaume kuna vitu kama kuendesha biskel kufanya kaz ngum au kuruka sehem ndefu na bikra sio lazma inapotolewa uone dam wengne awatoki sasa shda wanaume weng sio waelewa we kama kashakujbu mara moja bas usiulizeulize unamtia hasira tu
Alafu huo mda wa kuulizana hayo maswali unatoka wapi
 
Back
Top Bottom