Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

Naombeni msaada kwanza ni kweli bikra inaweza kutolewa bila mwanaume kumwingilia msichana na kwanini wadada wengi wanapoulizwa swali hili wanakuwa wakali sana mfano mke wangu kila nikimuuliza swali hili lazima uzuke ugomvi na kudai mtoaji ni mimi na hukasirika sana na kudai kama siamini basi nshakuwa na wanaume mia

Sasa swali ninalojiuliza kwanini anakuwa mkali na kuniambia ni mimi ndo mtoaji wakati sikuona dalili hizo for the first time

SWALI HILI NAJUA WENGI WA WANAUME WANALO KICHWANI WANAWEZA KUWA MAJASIRI WAKAULIZA AU WAKAMEZA TU BILA KUULIZA


Inawezekana, kwani kwenu huko unakoishi hakuna karoti, ndizi, matango, bilinganya, dodoki, na matunda rafiki kwa wanawake?
 
Kuna bikra na kuvunja ungo. Ni vyema ukaweka wazi unaongelea kipi kati ya hivyo viwili.
 
Jaman bikra sio lazma itolewe na mwanaume kuna vitu kama kuendesha biskel kufanya kaz ngum au kuruka sehem ndefu na bikra sio lazma inapotolewa uone dam wengne awatoki sasa shda wanaume weng sio waelewa we kama kashakujbu mara moja bas usiulizeulize unamtia hasira tu
Cha kushangaza kashamuoa na bado anahangaika na hilo swali! Kama alioa kwasababu ya bikra kazi anayo!!!
 
Cha kushangaza kashamuoa na bado anahangaika na hilo swali! Kama alioa kwasababu ya bikra kazi anayo!!!
Anayo kubwa kweli coz kuna ambao hawana bikra na ni wake wazur kuliko hao wenye bikra mtu kama unamke mzur ndan unahangaika na kujua mambo ya bikra ya nin ujinga tu
 
Umetembea na wanawake 15 ujawai kutana na papuchi iliyo tight achilia bikra af unakuja kuoa unataka umkute na bikra.kapimwe ubashite cyo bure
 
Kwani ww ulimkutaje mkeo maka uulize watu. Hata kama hakuwa na bikira ndio iweje sasa . Kwqni Diamond Mbona kamkuta Zari ana watoto ana haja ya kuuliza bikira?
 
Naombeni msaada kwanza ni kweli bikra inaweza kutolewa bila mwanaume kumwingilia msichana na kwanini wadada wengi wanapoulizwa swali hili wanakuwa wakali sana mfano mke wangu kila nikimuuliza swali hili lazima uzuke ugomvi na kudai mtoaji ni mimi na hukasirika sana na kudai kama siamini basi nshakuwa na wanaume mia

Sasa swali ninalojiuliza kwanini anakuwa mkali na kuniambia ni mimi ndo mtoaji wakati sikuona dalili hizo for the first time

SWALI HILI NAJUA WENGI WA WANAUME WANALO KICHWANI WANAWEZA KUWA MAJASIRI WAKAULIZA AU WAKAMEZA TU BILA KUULIZA
Ndio.
 
Siku zote wapenda ngono ndo wanahangaikaga na mabikra
Bikra for what?????
Unaweza bahatisha bikra lakini mkashindwana tabia

Sent from my itel it1355 using JamiiForums mobile app
 
Pia bikra mi sioni hata faida yake ni hali flani ya Ubinafsi...mambo ya kizamani sana...Mi nkigundua binti bikra wala sitaki mazoea nae kabisa
Sidhani kama kuna mtu asiyependa kuwa wa kwanza. Mengine nikujifariji tu.
 
Ndio maana Mwakyembe anataka vyeti vya kuzaliwa kwenye ndoa sasa itafikia kipindi hata bikra zitaandikwa kwenye chet cha ndoa
 
Back
Top Bottom