Apollo tyres
Senior Member
- Nov 16, 2024
- 109
- 286
Ukichukua maiti ukaiweka sehemu safi mfano katika vigae au kitandani,
Hii maiti ikianza kuoza wale bacteria (wadudu) ambao huanza kuibuka je huwa wanatoka wapi?
Kama ni katika mwili means ndani ya Mwili wa binadamu kuna hao backteria ?
Hii maiti ikianza kuoza wale bacteria (wadudu) ambao huanza kuibuka je huwa wanatoka wapi?
Kama ni katika mwili means ndani ya Mwili wa binadamu kuna hao backteria ?