Je, bodyguard wa Rais hana likizo?

Je, bodyguard wa Rais hana likizo?

Statistics

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
3,666
Reaction score
7,788
Salaam,

Kila mara huyu Kanali wa JWTZ, msaidizi wa Rais namuona akiwa bega kwa bega na Mzee.

Maswali ya kujiuliza...

Je, hana likizo?
Hapata misiba au sherehe?
Je, haugui?
Au hana visingizio kama wafanyakazi wengine ili kukwepa majukumu?

Nawasilisha hoja.
 
Mimi nauliza kuna Mzee mmoja aliwahi kuwa bodyguard wa Kabila, siku hizi namuona kwenye detail ya mkulu je amerudi uwanjani maana alikuwa mezani. Je inahusiana na kuongezeka kwa ulinzi wa Mkulu? maana kipindi cha JK alikuwa mezani

Huyo jamaa niliwahi kusimuliwa jinsi alivyomuokoa Kabila na assasination attempt. Walikuwa kwenye mkutano wa ndani, ghafla kuna jamaa kutoka nje akafungua mlango wa kuingia ndani kisha akaufunga haraka bila kuingia. Huyo Mzee ndani ya sekunde akaamuru wamtoe Kabila eneo hilo, mda haukupita mrefu watu walikuja wakavamia na mitutu na kuuwa wote waliomo mule ndani. Wanaojua hiki kisa wataeleza zaidi.
 
Mimi nauliza kuna Mzee mmoja aliwahi kuwa bodyguard wa Kabila, siku hizi namuona kwenye detail ya mkulu je amerudi uwanjani maana alikuwa mezani. Je inahusiana na kuongezeka kwa ulinzi wa Mkulu? maana kipindi cha JK alikuwa mezani

Huyo jamaa niliwahi kusimuliwa jinsi alivyomuokoa Kabila na assasination attempt. Walikuwa kwenye mkutano, ghafla kuna jamaa kutoka nje akafungua mlango wa kuingia ndani kisha akaufunga haraka bila kuingia. Huyo Mzee ndani ya sekunde akaamuru wamtoe Kabila eneo hilo, mda haukupita mrefu watu walikuja wakavamia na mitutu na kuuwa wote waliomo mule ndani. Wanaojua hiki kisa wataeleza zaidi.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kila kazi na job description yake mkuu.

mafisadi hayana chama
 
jamaa atakua amezimis sana safari za nje, sasa hivi kila siku anaavaa combat tu sio zille kijani
 
Back
Top Bottom