Je, bodyguard wa Rais hana likizo?

Je, bodyguard wa Rais hana likizo?

Salaam,

Kila mara huyu Kanali wa JWTZ, msaidizi wa Rais namuona akiwa bega kwa bega na Mzee.

Maswali ya kujiuliza...

Je, hana likizo?
Hapata misiba au sherehe?
Je, haugui?
Au hana visingizio kama wafanyakazi wengine ili kukwepa majukumu?

Nawasilisha hoja.
Kuna baadhi ya majukumu ukiyapta hata likizo na visingizio vyovyote vya kukufnya usiwe kazini havipo coz kuna maslahi mazuri labda tu itokee kama kuumwa sana au kupewa likizo ya lazima mfano ndo kma huyo msaidizi wa rais wakat rais anasain trip allowance naye anagonga zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hee kumbe Rais naye ana sainishwa kuvuta za safari, wa awamu iliyo pita atakuwa kajaza mabuku mengi kusaini za safari. Katika madeni ya watumishi wa umma inawezekana watumishi kama makatibu wakuu na mawaziri wakawa wanadai malimbikizo ya stahiki zao kama ilivyo kwa watumishi wa kaada za chini kama walimu?


Na washawasha!



Kuna baadhi ya majukumu ukiyapta hata likizo na visingizio vyovyote vya kukufnya usiwe kazini havipo coz kuna maslahi mazuri labda tu itokee kama kuumwa sana au kupewa likizo ya lazima mfano ndo kma huyo msaidizi wa rais wakat rais anasain trip allowance naye anagonga zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bodyguard wa ra raisi kwanza hawi mmoja. hivyo anapata vyoye hivyo.labda mi niulize maraisi wa Africa hawanaga double? Yule mtu anakua kafanana na raisi mia. then anaweza tangulizwa sehemu kama raisi kwajili ya kuchanganya wataotaka kumzulu raisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zilezile hadithi za kina Sadam Hussein wako zaidi ya kumi na mpaka sasa wameuliwa wawili. Sasa hao wengine zaidi ya nane wako wapi mbona hatuwaoni? Mara nyingi ni maongezi ya kusubiria ngararumu ziive.




Na washawasha!


bodyguard wa ra raisi kwanza hawi mmoja. hivyo anapata vyoye hivyo.labda mi niulize maraisi wa Africa hawanaga double? Yule mtu anakua kafanana na raisi mia. then anaweza tangulizwa sehemu kama raisi kwajili ya kuchanganya wataotaka kumzulu raisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kalinzi ka kike kulikuwa kanamlinda magufuli sikaoni siku hizi
Kwa nini unatumi Ka, usimdharau kwani mpaka kufikia pale kumlinda Rais atakuwa na vigezo vyote. Na hakuanza na JPM, alianza na JK mwishoni mwishoni. Huenda labda yupo likizo ya uzazi n.k lakini swali zuri maana na yule mwanamke mwingine pia naye siku hizi haonekani. Walikuwa wawili
 
Yule anae vaa Gwanda sio bodyguard ni Mpambe Aide de camp yani ADC Yuko pale kama alama tu kuonesha hapa yupo Commander in chief, Ratiba zake huendana na za Rais,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kalinzi ka kike kulikuwa kanamlinda magufuli sikaoni siku hizi
Yupo asee
78ea39ec606d696e1a90d3ad3a7af191.jpg
majukumu ni mengi
 
Hivi kwanini Mabodyguard wa Obama na sasa Trump huwa hawasimami nyuma yake? Hivi kiusalama ni sawa kwa Bodyguard wa rais kujulikana namna ile?

Cc. Al-Watan The bold

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nitege hapa naweza kubeba mawili matatu japo sijui vitanisaidia nini
 
Hivi kwanini Mabodyguard wa Obama na sasa Trump huwa hawasimami nyuma yake? Hivi kiusalama ni sawa kwa Bodyguard wa rais kujulikana namna ile?

Cc. Al-Watan The bold

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Inategemea na circumstances huyo anaekaa nyuma muda wote sio bodyguard ni Mpambe ila pia Protection details inakuwa imemzunguka raisi na hawako na uniform, Huo uzungukaji unaweza usione
Hivi kwanini Mabodyguard wa Obama na sasa Trump huwa hawasimami nyuma yake? Hivi kiusalama ni sawa kwa Bodyguard wa rais kujulikana namna ile?

Cc. Al-Watan The bold

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Inategemea na circumstances huyo anaekaa nyuma muda wote sio bodyguard ni Mpambe ila pia Protection details inakuwa imemzunguka raisi na hawako na uniform, Huo uzungukaji unaweza usione
060b7d58290d5ea6038863000755f354.jpg
 
Kuna kalinzi ka kike kulikuwa kanamlinda magufuli sikaoni siku hizi

Acha dharau basi Mkuu. Huyo unayesema ni Ka Kike na Kanamlinda nina uhakika ukisema ' uzichape ' nae kavu kavu utaomba ' mma ' mwenyewe na hata kwa uwoga wako na ' Kipondo ' kitakatifu kilichotukuka alichokupa unaweza mwenyewe ukaamuru Ofisi inayoratibu mshahara wako Ofini Kwako kila mwezi Mshahara wote wawe wanauelekezea kwako huyo ' Mwanamke ' mlinzi wa Magufuli.
 
Acha dharau basi Mkuu. Huyo unayesema ni Ka Kike na Kanamlinda nina uhakika ukisema ' uzichape ' nae kavu kavu utaomba ' mma ' mwenyewe na hata kwa uwoga wako na ' Kipondo ' kitakatifu kilichotukuka alichokupa unaweza mwenyewe ukaamuru Ofisi inayoratibu mshahara wako Ofini Kwako kila mwezi Mshahara wote wawe wanauelekezea kwako huyo ' Mwanamke ' mlinzi wa Magufuli.

Sorry Mkuu,sikuwa na nia mbaya.Namheshimu sana mwanamke
 
Back
Top Bottom