GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waziri wa TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa amesema hajashangaa kuona Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kati Singida Dkt. Cyprian Hilinti kumuomba Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aridhie kuwa Mama wa Taifa la Tanzania ambapo Mchengerwa amesema Rais Samia ameingia kwenye fikra na maono ya Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere.
Chanzo: millardayo
Yaani Deiwaka katika Uongozi ( akiichukua nchi Kikatiba tu na siyo kwa Kupigiwa Kura na Wananchi ) ndiyo awe Mama wa Taifa? Badilisheni upesi aina ya Bange / Bangi mnazovuta kwa sasa sawa?
GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sikufundishwa na Chuo Kikuu changu Pendwa na Tukuka cha SAUT Mwanza 2006 - 2009 ( chini ya aliyekuwa Vice Chancellor wangu Genius Fr. Dk. Charles Kitima sasa Katibu Mkuu wa TEC ) kuja kuwa Mpumbavu Niliyetukuka na Mnafiki Niliyeshindikana katika Jamii ya Watanzania, Waafrika na ile inayonizunguka.
Chanzo: millardayo
Yaani Deiwaka katika Uongozi ( akiichukua nchi Kikatiba tu na siyo kwa Kupigiwa Kura na Wananchi ) ndiyo awe Mama wa Taifa? Badilisheni upesi aina ya Bange / Bangi mnazovuta kwa sasa sawa?
GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sikufundishwa na Chuo Kikuu changu Pendwa na Tukuka cha SAUT Mwanza 2006 - 2009 ( chini ya aliyekuwa Vice Chancellor wangu Genius Fr. Dk. Charles Kitima sasa Katibu Mkuu wa TEC ) kuja kuwa Mpumbavu Niliyetukuka na Mnafiki Niliyeshindikana katika Jamii ya Watanzania, Waafrika na ile inayonizunguka.