Je, BOLT inakufa?

Je, BOLT inakufa?

City Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
402
Reaction score
1,212
Kama wewe ni mtumiaji wa BOLT katika safari zako hapa town utakuwa umenotice mabadiliko makubwa sana kwenye huduma za hawa watu.

Nikiri wazi bolt na uber ni solution kwa usafiri hasa karika miji mikubwa yenye ubusy na michakato mingo sababu kuu za watu kutumia huduma hizi ni

Usalama
Uharaka
Unafuu na
Flexibility

Biashara hii imeanza kuondoa doa baada ya watoa huduma wengi kukiuka utaratibu

Karibuni nimepanda BOLT mara kadhaa na kugundua boda boda wengi wa BOLT sasa hawavai kofia ngumu, wanavyombo vibovu, hawaogi, wanasajili vyombo tofauti na vinavyofanya kazi, wanakatisha route na wamekuwa watu wa hovyo tofauti na mwanzo

Bajaji na magari wao ni wataalamu wa kukatisha route na kuomba abiria tip kwa lazima

Chondechonde tulikuwa tunatransform vizuri sana lakini upuuzi huo hapo juu umeondoa dhana nzima ya kuwa na service hii

Niombe watu wa BOLT kaeni chini tena mfanye tathmini, wekeni standards, fuatilieni watoa huduma wenu wanawapeleka shimoni

Ni hayo tu
 
Ili sekta binafsi iwe na mafanikio kama serikali inavyotamani, ni lazima yenyewe iwe na uelewa wa jinsi biashara zinavyoendeshwa, kuwa tayari kisikiliza na kutendea kazi mawazo positive, iache siasa kwenye Kila jambo na hasa kuwaona wafanyabiashara kama wezi Bali partners na kuleta makodi yasiyotekelezeka.
 
Changamoto nyingine ni mindset mfu kwa wananchi wengi hasa kutokana na kukosa exposure. Mataifa makubwa huchagua wafanyabiashara wakubwa wenye mafanikio kuongoza baadhi ya wizara au taasisi za serikali Ili waweze kuchangia mawazo Bora na inclusive kuvusha taifa mbele, kichekesho kwa hapa nchini ni kwamba mfanyabiashara akichaguliwa na serikali either kuishauri au kuwa sehemu yake inapokewa too negative na wananchi which is wrong- watu wanapaswa kuwa judjed kwendana na deliverance / outcomes kwa kuzingatia pia maadili Yao. Kikubwa tutengeneze mifumo na kuacha siasa zisizo na maana.
  • Uwezekano wa bolt/ Uber ku-survive nchini ni changamoto mnoo hasa kutokana na sera mbovu za biashara.
  • Serikali isitumie tu nguvu kubwa kuhamasisha uwekezaji Bali itengeneze mazingira Bora Ili haya makampuni yanapokuja yazidi kuvutiwa na kufanya Long term investment otherwise tutakuwa tunaleta Makampuni 10 mapya alafu yanaondoka 15, huu utakuwa ni ukichaa.
*Bolt ni mbali sana, angalia machinga-serikali imewakopesha mitaji alafu mwisho wa siku vibanda vyao vinachomwa moto pasipo uwajibikaji, Je mikopo iliyokopwa atarudisha nani? Kivipi? Kwann? Na modality hii itamkomboaje machinga na umasikini hasa ukizingatia vibanda vyao vinaungua moto au kuvunjwa?
 
Kama wewe ni mtumiaji wa BOLT katika safari zako hapa town utakuwa umenotice mabadiliko makubwa sana kwenye huduma za hawa watu.

Nikiri wazi bolt na uber ni solution kwa usafiri hasa karika miji mikubwa yenye ubusy na michakato mingo sababu kuu za watu kutumia huduma hizi ni

Usalama
Uharaka
Unafuu na
Flexibility

Biashara hii imeanza kuondoa doa baada ya watoa huduma wengi kukiuka utaratibu

Karibuni nimepanda BOLT mara kadhaa na kugundua boda boda wengi wa BOLT sasa hawavai kofia ngumu, wanavyombo vibovu, hawaogi, wanasajili vyombo tofauti na vinavyofanya kazi, wanakatisha route na wamekuwa watu wa hovyo tofauti na mwanzo

Bajaji na magari wao ni wataalamu wa kukatisha route na kuomba abiria tip kwa lazima

Chondechonde tulikuwa tunatransform vizuri sana lakini upuuzi huo hapo juu umeondoa dhana nzima ya kuwa na service hii

Niombe watu wa BOLT kaeni chini tena mfanye tathmini, wekeni standards, fuatilieni watoa huduma wenu wanawapeleka shimoni

Ni hayo tu
Sera na siasa za bongo zinaleta shida sana kwao
 
Hivi kwa hizi bei za mafuta zinavyopaa bado trip ya mwenge buguruni ni Tsh.4OOO?
 
Hivi kwa hizi bei za mafuta zinavyopaa bado trip ya mwenge buguruni ni Tsh.4OOO?
alafu bado analalmika et yani anajifikiria yeye tu hajui hapo mwenzake analipa 3400 kwa lita moja na bado akimfikisha huko buguruni anaktwa service charge na bolt
 
Changamoto nyingine ni mindset mfu kwa wananchi wengi hasa kutokana na kukosa exposure. Mataifa makubwa huchagua wafanyabiashara wakubwa wenye mafanikio kuongoza baadhi ya wizara au taasisi za serikali Ili waweze kuchangia mawazo Bora na inclusive kuvusha taifa mbele, kichekesho kwa hapa nchini ni kwamba mfanyabiashara akichaguliwa na serikali either kuishauri au kuwa sehemu yake inapokewa too negative na wananchi which is wrong- watu wanapaswa kuwa judjed kwendana na deliverance / outcomes kwa kuzingatia pia maadili Yao. Kikubwa tutengeneze mifumo na kuacha siasa zisizo na maana.
  • Uwezekano wa bolt/ Uber ku-survive nchini ni changamoto mnoo hasa kutokana na sera mbovu za biashara.
  • Serikali isitumie tu nguvu kubwa kuhamasisha uwekezaji Bali itengeneze mazingira Bora Ili haya makampuni yanapokuja yazidi kuvutiwa na kufanya Long term investment otherwise tutakuwa tunaleta Makampuni 10 mapya alafu yanaondoka 15, huu utakuwa ni ukichaa.
*Bolt ni mbali sana, angalia machinga-serikali imewakopesha mitaji alafu mwisho wa siku vibanda vyao vinachomwa moto pasipo uwajibikaji, Je mikopo iliyokopwa atarudisha nani? Kivipi? Kwann? Na modality hii itamkomboaje machinga na umasikini hasa ukizingatia vibanda vyao vinaungua moto au kuvunjwa?
Wao wawekezaji wanaowatambua ni hawa wezi wa rasilimali kama gesi, madini, mafuta, uranium etc kwao ndio wawekezaji wanaoelewana nao sababu ya mgao. Ila sio wawekezaji wanaokuja kufanya uwekezaji wa kimitaji kupitia makampuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wawekezaji wanaowatambua ni hawa wezi wa rasilimali kama gesi, madini, mafuta, uranium etc kwao ndio wawekezaji wanaoelewana nao sababu ya mgao. Ila sio wawekezaji wanaokuja kufanya uwekezaji wa kimitaji kupitia makampuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwekezaji kama hana namna atatoa 10% kila mwezi huyo wazee hawamtaki wanamuona mziguaji tu 😂😂😂
 
Mwekezaji kama hana namna atatoa 10% kila mwezi huyo wazee hawamtaki wanamuona mziguaji tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu kila siku tunaulizana kwann taifa halipigi hatua, kwann uchumi haueleweki kwann vijana ajira hakuna wachawi wetu wapo na sisi hapa hapa.

Mzungu anaumiza kichwa anatengeneza app inayotoa ajira kwa zaidi ya asilimia 70% ya vijana kwenye bodaboda, bajaji, na gari. Then wanakuja wapuuzi wachache wanaleta uchuro wa kisheria jamaa wanaomba kupewa 25% ya mapato vijana wanagoma ila wanashindwa gomea wachawi wanaowafitisha na mzungu aliyewapa ajira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom