Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Njama za kihuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changanya na miwani mingine, labda 3D itapendeza zaidi.Wapi barua inasema Mwabukusi anavuliwa uwakili kamanda?
Badala ya kuonesha wapi wametaja kuvuliwa wewe unaleta blah blah zako😁Changanya na miwani mingine, labda 3D itapendeza zaidi.
Tanganyika ndio nini kwa sisi wa 2000sNjama za kihuni
View attachment 2793653
Utasemaje wakimvua huo uwakili?Badala ya kuonesha wapi wametaja kuvuliwa wewe unaleta blah blah zako😁
Kwani unnataka nisemaje?Utasemaje wakimvua huo uwakili?
Hata huyo kamanda alikuwa hajazaliwa enzi za Tanganyika😁Tanganyika ndio nini kwa sisi wa 2000s
asituyumbishe basi kutuletea mambo ya ajabu ajabu hapa alaaa!Hata huyo kamanda alikuwa hajazaliwa enzi za Tanganyika😁
Aibu kubwa sn kwa serikaliKamwe udhalimu haujawahi kudumu
Atutawale mara ngapi?Mwarabu amejipanga kututawala tena kupitia uongozi mbovu wa CCM awamu ya sita
Ya samia ushaiona?!
Unataka nikulishe maneno ya kusema? Sema basi pangu pakavu tia mchuzi...Kwani unnataka nisemaje?
Msomihalisi Mwambukuzi kasema hatojitetea kwa hawa wapumbafu wakitaka wachuke na cheti Chao cha uhuni na ushenzi cha darasa la sabaNjama za kihuni
View attachment 2793653
Anavutia watu waje wachangie uzi wakeBadala ya kuonesha wapi wametaja kuvuliwa wewe unaleta blah blah zako😁
Alikuwa anajifanya mwamba.....hata hivyo si alisema ana mashamba ya miti ya zambarau na mapera, hahitaji uwakiliNjama za kihuni
View attachment 2793653