Gutuka brother..sitaki kumharibia mtu ishu zake ila hapo gutukaHawa wanatoa mikopo, je hawana utapeli maana mtu unataka kuchukua mkopo, nashangaa Wànasema ulete 250,000 eti ni Akiba yako na 61,000 kama bima ya mkopo at the same time wanashikilia Mali zako kama dhamana. Sasa bima ya Nini? Nistue mnaowajua hawana utapeli kweli? Are they genuine? Au Ni sawa na DECCI iliyowatapeli watu?
Mkopo wa kweli walikuwa wanatowa Tala tu, sasa hivi yamebaki magenge ya matapeli.Hawa wanatoa mikopo, je hawana utapeli maana mtu unataka kuchukua mkopo, nashangaa Wànasema ulete 250,000 eti ni Akiba yako na 61,000 kama bima ya mkopo at the same time wanashikilia Mali zako kama dhamana. Sasa bima ya Nini? Nistue mnaowajua hawana utapeli kweli? Are they genuine? Au Ni sawa na DECCI iliyowatapeli watu?
Kwahiyo ndio wanaondowa umaskini kwa mkopo wa 250,000/= uwape kwanza 60,000/=Tuna tatizo kubwa la vijana wetu kutopenda kutafuta taharifa. Huwezi kwenda kuomba mkopo kwenye taasisi ambayo hujaifanyia due diligence. BRAC ni kampuni kubwa sana duniani na imeanzia Bangladesh mwaka 1972 (miaka 50 iliyopita) na mwanzilishi wake alikuwa na maono makubwa ya kuwakomboa masikini duniani maono ambayo mpaka sasa yametimia kwa kiwango kikubwa. BRAC imewafikia wateja wengi masikini duniani na imewakomboa kwa kiasi kikubwa ikiwemo watanzania. Hapa Tanzania mtandao wa Brac Microfinance ni mpana mno na wana wafanyakazi zaidi ya 2,000 wanaofanya kazi karibia wilaya zote nchini. Kwa maana nyingine BRAC wana wafanyakazi wengi kuliko NMB Bank. Na kwa Dunia nzima wana wafanyakazi zaidi ya laki 1 na mapato zaidi ya Trillion 2 za kitanzania kwa mwaka.
Sasa wewe ebu jikadirie
Tala walinineema sana katika biashara yangu,ni ujinga wa wachache wasio waaminifu wamepelekea tala kufunga ofisi zao TanzaniaMkopo wa kweli walikuwa wanatowa Tala tu, sasa hivi yamebaki magenge ya matapeli.
Sasa kama pesa unayo uombe mkopo wa nini?
Wapigaji hao achana nao, bima wanatakiwa wakate wao wenyewe.
Benki ya Posta tunakopa bila akiba for your information! Strange!lkn pia huwezi kopa kama hauna akiba
Hujambo amu , habari za wapi? Hapana sijatightika kihivyo kama mimi. Kuna mtu anataka nijivishe viatu vyake! Uko sahihi haya mashirika uchwara ni hatari na ukienda huko kweli unakuwa umeshikwa pabaya! Lakini hata say benki ya posta riba ni hizo hizo za kuua mtu na wala hayako pale kusaidia mtu bali kumnyonya, tena absolte siphon!BRA C Hao mabangladesh wana njaa hatari.
Ni kampuni ina miaka mingi sana bongo.
Bima ya mkopo inakulinda wewe na familia yako pindi ukipatwa na majangwa kama kufariki au kupata ugonjwa ambao utashindwa kufanya shughuli zako za uchumi hivyo familia haitosumbuliwa kulipa mkopo, mkopo utalipwa na kampuni ya BIMA.
Kuhusu Cash Collateral(akiba) sisi wabongo si waaminifu hivyo inasaidia hata mtu akichukua mkopo akakimbia basi hakimbii na hela yote, kuna ambayo itakuwa imebaki kwa kampuni.
🤣🤣🤣🤣🤣 Ila pole sana Retired inaonekana mambo tight sana mpaka kwenda kukopa BRAC
Hawa siyo matapeli bhana! Sijawahi kukopa kwao, na hata ofisi zao sijui zilipo! Ila huku ninako ishi, naona tu baadhi ya wakina mama wa kipato cha chini, wakiwa busy kujaza fomu kwa ajili ya kupatiwa mikopo ya hiyo BRAC.Gutuka brother..sitaki kumharibia mtu ishu zake ila hapo gutuka
Kwenye mikopo kunaHawa siyo matapeli bhana! Sijawahi kukopa kwao, na hata ofisi zao sijui zilipo! Ila huku ninako ishi, naona tu baadhi ya wakina mama wa kipato cha chini, wakiwa busy kujaza fomu kwa ajili ya kupatiwa mikopo ya hiyo BRAC.
Wangekuwa ni matapeli, mpaka muda huu ningeshasikia kelele mtaani.
BRAC ipo legitimate. Sio utapeli.Hawa wanatoa mikopo, je hawana utapeli maana mtu unataka kuchukua mkopo, nashangaa Wànasema ulete 250,000 eti ni Akiba yako na 61,000 kama bima ya mkopo at the same time wanashikilia Mali zako kama dhamana. Sasa bima ya Nini? Nistue mnaowajua hawana utapeli kweli? Are they genuine? Au Ni sawa na DECCI iliyowatapeli watu?
Uko sahihi, kuna deductions ambazo hwakwambii, ukishha sign ndipo unapata muziki wao! Tahadhali ni muhimu...Kwenye mikopo kuna
Ya chino
Ya kati
Ya juu
Hii ya chini mara nyingi ni kimbilio la wasio na uwezo na sometimes elimu na uelewa mkubwa.. Na huwa haizidi laki 5.. Ukija hii ya kati na juu vilio huanzia hapo.. Na si kwamba ni matapeli wa direcf ila kuna mlolongo wa hidden costs ambazo at Low level si kitu ila kwenye high level ndio utaziona rangi halisi
Huyu jamaa ametaka kujua kama ofisi ni legitimate na siyo matapeli. Ulivyomuambia agutuke as in ofisi siyo legit nikawa natafuta wapi utaelezea utapeli wao.Kwenye mikopo kuna
Ya chino
Ya kati
Ya juu
Hii ya chini mara nyingi ni kimbilio la wasio na uwezo na sometimes elimu na uelewa mkubwa.. Na huwa haizidi laki 5.. Ukija hii ya kati na juu vilio huanzia hapo.. Na si kwamba ni matapeli wa direcf ila kuna mlolongo wa hidden costs ambazo at Lowes level si kitu ila kwenye high level ndio utaziona rangi halisi
asante sana. Ushuhuda wako nauamini. I have somebody very close to me anataka kukopa. Nikaona nitafute information, to satisfy due diligence, nijiridhishe angalau kama wako legitiamate and the like! asante sana.Kuna project fulani ambayo ilisababisha nifanye kazi na BRAC (nje ya Dar) actually hii ofisi ina category (sijajua kama nipo sahihi kuita category) ya aina ya mikopo na wahusika wake project niliyokuepo ilihusisha vikundi vya mikopo vya wakina mama as in wamama wa sehemu mbalimbali wanaunda vikundi vyao kisha mmoja ataweza kukopa individually kwa dhamana ya kikundi.
Nikaja kujua kumbe wana mikopo binafsi (nadhani wewe upo hapa) wana mikopo kwa wakulima na wafanyabiashara. Kwa nilichoona pale sidhani kama BRAC wana mpango wa kupiga mtu. Wapigaji hua ni Credit Officers kwa kukuambia labda umpe 30K akufanikishie mkopo.
Pia naona unaifananisha BRAC na Deci. Deci ni pyramid scheme yaani ukifananisha Deci na Mr Kuku project utakua sawa lakini BRAC hawa ni microfinance na hawaoperate kwa kuchangisha watu ili mtu wa mwanzo kuita wenzake apate faida.
Swali lako la if they are legit yes they are legit ila kuhusu hizo charges sina uelewa nazo kwakua mimi nilikua na hiyo project iliyohusisha vikundi vya wamama tu.
kweli ukienda kwa hawa wa mitaani, wanakwambia leta kadi na gari uviweke hapa. Riba ni kwenye 200%/week.. blood fool and bustard!!gharama kama huyu mleta uzi ana gari lililosajiliwa hivi karibuni nimuunganishe na mtu akope kwa dhamana ya gari halafu aangalie gharama zipoje.