BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Castro Poyoyo sana,akili za KIBASHITE.hahahaha daah casto amezingua sana
sasa mpaka mwanamke anaolewa Casti akitulizeMtoto ni wa Casto sema kwakuwa Peter alimuoa ndo maana watu wanaongea tu. Kumbuka aliolewa na mimba ya miezi 3 na alikuwa na mahusiano na Peter+Casto. I know Peter vizuri was my neighbour somewhere
Muna alitakiwa amsahau Casto kabisa baada ya ndoaYes akitulize maana mtoto kazaliwa ndani ya ndoa so mwenye haki ni Peter. Sema angekuwa na hela angeomba DNA[emoji3]
Kangi aangalie big boss hapendi mtu amzidi kwa kiki townNaona wiki hii Muna na Kangi wako kwenye peak.
Qummer- maye wallah,kumbe hata Mimi m2 ninayejua kuwa ni Baba yangu huenda asiwe my Biological father!!!!!!!![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Inasemekana Casto alikataa mimba na alimwambia Muna aitoe. Peter alimuoa Muna akiwa na mimba.
Kuna mama mmoja aliniambia ukiwa huna uhakika wa Baba wa mtoto mwanaume wa kwanza atakaekubali shikilia hapo hapo labda DNA ikuumbue.
Mkuu naskia na dogo Janjayeye (casto), kalala jr, joel muimba gospo, petit man na mababa wengine wote wa kufikia watangulie tu makaburin tutawakuta huko
Kosovo nlikua namuona mbabe kumbe nae ana mjanja wakeYes akitulize maana mtoto kazaliwa ndani ya ndoa so mwenye haki ni Peter. Sema angekuwa na hela angeomba DNA[emoji3]
Kwa sasa nani anamiliki huo mzigo?yeye (casto), kalala jr, joel muimba gospo, petit man na mababa wengine wote wa kufikia watangulie tu makaburin tutawakuta huko
Mwimba gospo flani iviKwa sasa nani anamiliki huo mzigo?