Je, CCM imebaliki Hayati Magufuli kuzalilishwa na kuleta fedheha kwa wanafamilia wake?

Je, CCM imebaliki Hayati Magufuli kuzalilishwa na kuleta fedheha kwa wanafamilia wake?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni. Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je, CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
 
Familia ya hayati Magufuli haiwez kuzungumza lolote wala kulaum kwani mengi ya yanayosemwa wao wameyaishi.

CCM hawana la kusema maana yanayosemwa ndio yaliyofanywa na possibly hayakufanywa Kwa nataka za chama.
 
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Ukweli usemwe na serikali huko mbele itawajibika kuwalipa fidia waathrika wa ukatili huo, it is a matter of time
 
CCM chama kikubwa, sio kila kitu unajibu, hata familia, haiwezi kujibu kila kitu, mengine yatamezwa na muda tu.

Inawezekana wakijifanya kujibu wakafungulia bwawa la maswali unnecessarily. Mkisema hapana, mtaulizwa yuko wapi, mkisema ni kweli, mtaulizwa kazikwa wapi
 
Ulitaka CCM iseme nini hasa ukizingatia kuwa yanayo semwa yana ukweli kwa kiasi fulani?
 
Wakati wa sherehe za kuwaapisha viongozi wakuu wa skauti kitaifa pale ikulu Mzee MWINYI alisema*maisha ni hadithi tuuu....* Ewe ndugu yangu Fanya mema ili siku ukiondoka duniani watu wahadithiwe memaaa.
 
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Unashauri Serikali ifanyaje?
 
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Imebaliki ndio kiu gani?
 
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Ndio lina baraka zote za uongozi wa sasa wa CCM taifa. Hii ni kampeni ya October 2025. Tutasikia mengi Sana ili Samia aonekane ana unafuu, mwema, muadilifu. JPM anatumiwa kama ngazi na awamu ya sita kuoanda ili ashinde October 2025.

Awamu hii hawana rekodi nzuri ya kusimama nayo, hawana uwezo wa kueleza sera zao majukwaani kilichobaki ni kununua upinzani wote. Na kumchafua JPM kwa kila uchafu.

Wamejaribu kila kitu. Wanamalizia kwamba alikuwa mbakaji, tegemea atapews kila aina ya kashfa kwamba alibaka wanawake, mawaziri wa kike, watoto, wazee na wapinzani wake ikulu.
 
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Kibaya ni labda kama KADHALILISHWA lkn KAZALILISHWA hilo kwa familia yake siyo tatizo kabisa.
 
Kwa hiyo unataka CCM ifanye nini kwa mfano, wakati umeashaambiwa wanasheria 20 wamekaa mwaka mzima wanachambua hicho kitabu.

Isitoshe kitabu kimefadhiliwa na watu wengi wakiwemo vigogo wa CCM
 
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.

My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.

Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Kama alifanya maovu alifanya kwa nafsi yake CCM haihusiki. Acha avune alichopanda!
 
Kwa hiyo unataka CCM ifanye nini kwa mfano, wakati umeashaambiwa wanasheria 20 wamekaa mwaka mzima wanachambua hicho kitabu.

Isitoshe kitabu kimefadhiliwa na watu wengi wakiwemo vigogo wa CCM
That's why nikasema siasa za Africa zimejaa takataka..hata.huyu SAMIA na gente lake ni takataka nyingine
 
Hata wasipomtetea JPM anajitetea mwenyewe...
Leo hii hao unaosema wanakenua eti tuna umeme wa kutosha mpaka tunataka kuanza kuuza nje...
Hivi bila Mzilankende kuthubutu fikiria hali ingekuwaje..ila pia nampongeza sana Rais Samia kwa kukamilisha huu mradi Mungu ambariki sana pamoja na changamoto zake.
Huyo Kabendera sijui bendera amewahi kufanya nini kwa manufaa ya nchi?...
Kwanza hicho alichoandika ni stori za vijiweni hakuna kitabu zaidi ya karatasi za kuchambia tu....hana solid evidence ya tuhuma zozote anazotoa...
Aeleze wazi kwa nini alitofautiana na Mamlaka?...
 
Back
Top Bottom