The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ukweli usemwe na serikali huko mbele itawajibika kuwalipa fidia waathrika wa ukatili huo, it is a matter of timeNajua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.
My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.
Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Unashauri Serikali ifanyaje?Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.
My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.
Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Imebaliki ndio kiu gani?Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.
My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.
Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Ndio lina baraka zote za uongozi wa sasa wa CCM taifa. Hii ni kampeni ya October 2025. Tutasikia mengi Sana ili Samia aonekane ana unafuu, mwema, muadilifu. JPM anatumiwa kama ngazi na awamu ya sita kuoanda ili ashinde October 2025.Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.
My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.
Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Kibaya ni labda kama KADHALILISHWA lkn KAZALILISHWA hilo kwa familia yake siyo tatizo kabisa.Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.
My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.
Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
Wewe unaona tuhuma za kumpiga mtu risasi ikulu ni.za kawaida?Unashauri Serikali ifanyaje?
Kama alifanya maovu alifanya kwa nafsi yake CCM haihusiki. Acha avune alichopanda!Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni.
Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini Kweli CCM huwa wanaua watu ikulu.
My Big concern ni kwa wanafamilia ya Magufuli maana Naona Mzee waonanasimangwa na Hakuna wakukiingua kifua.
Ama Kweli siasa zetu zimejaa takataka kuna watu wanafaidika na huu. upotoshaji. Haiwezekani ikulu inapewa tuhuma nzito kama ile afu mamlaka zipo kimya.
That's why nikasema siasa za Africa zimejaa takataka..hata.huyu SAMIA na gente lake ni takataka nyingineKwa hiyo unataka CCM ifanye nini kwa mfano, wakati umeashaambiwa wanasheria 20 wamekaa mwaka mzima wanachambua hicho kitabu.
Isitoshe kitabu kimefadhiliwa na watu wengi wakiwemo vigogo wa CCM