Je, CCM imebaliki Hayati Magufuli kuzalilishwa na kuleta fedheha kwa wanafamilia wake?

Kama Magufuli aliua, unataka ccm wafanyeje?
 
Ukweli lazima usemwe, Yeye alichagua maisha ya ukatali.
Hii itafanya wengine wajifunze wanapokuwa madarakani waongoze kwa kufata misingi ya utawala bora.
 
Ukweli lazima usemwe, Yeye alichagua maisha ya ukatali.
Hii itafanya wengine wajifunze wanapokuwa madarakani waongoze kwa kufata misingi ya utawala bora.
Ukweli usemwe ukiambatana ushahidi usio na shaka. Hakuna haja ya kuficha ushahidi kama unao.

Madai makubwa kama haya yawe na ushahidi wa kutosha. Hii ndio misingi ya haki inavyotaka.
 
Familia ya hayati Magufuli haiwez kuzungumza lolote wala kulaum kwani mengi ya yanayosemwa wao wameyaishi.

CCM hawana la kusema maana yanayosemwa ndio yaliyofanywa na possibly hayakufanywa Kwa nataka za chama.
Na ushahidi ni jinsi Janet alivyonawiri baada ya dhalim kwenda zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…