Je CCM imesheheni uzalendo?

Pac the Don

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
6,170
Reaction score
7,710
Kuna mikataba mingi tang zaman imekua na makandokando mengi na ufisadi wa kutisha!! Swali langu ni... Kwann wahusika wanaingia mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa na waisainisha? Mpaka bungeni inapitishwa kwa makofi ya kutosha mezani? Inamaana wao hua hawaoni mapungufu ya kimkataba mpaka walio nje nje ya mfumo ndio wapige kelele? Kibaya zaid wapiga kelele wana hoja. Je lengo hua ni nn? Hawana uzalendo bali huangalia zaid maslahi binafsi? NB; Unapogundua kuna ufisadi na ubadhirifu but hawachukuliwi hatua stahiki wahusika je hii inamaana gan!! Majibu toka kwa wana CCM wenzangu ni muhimu zaid.
 
Done ✔️
 
Matatizo mkuu mawili
1. Ujinga, wanasheria wengi wa serikali ni mbumbumbu haswaa, hawa practice sheria kabisa. Ni rahisi kupigwa chenga na ndio maana hata tukishitakiwa wakati fulani serikali huwa inalipia mawakili binafsi kuitetea

2. Ubinafsi na kukosa uzalendo. Viongozi wengi huchukulia nafasi zao kama 'fursa', hivyo kwenye kila jambo wanaangalia maslahi yao kwanza. Na huu ni utamaduni wa watanzania wengi. Ndio maana ukipata uongozi kama hauibi na kufanya makubwa watu wanakucheka kuwa ni 'mjinga'.

Usitatjie miujiza Tanzania, watu wengi ni wezi na mafisadi, tofauti ni fursa za kupiga tu. Hata hao wapinzani ni wezi tu.
 
Usitatjie miujiza Tanzania, watu wengi ni wezi na mafisadi, tofauti ni fursa za kupiga tu. Hata hao wapinzani ni wezi tu.
Upo sahihi ✔️!! But ukiangalia ni nn kinafanya watu wawe wezi wakipata madaraka? Au mtu anataman apate nafas mahal nayeye aibe? Upande wa wanasheria wa serikali nadhan c kwamba hawana uelewa au sio wasomi!! Tatizo ni kutetea jambo ambalo ni uongo, issue ya mikataba tatizo lipo kwa wanaoitaka hiyo mikataba kwa maslah binafsi ambapo wakili hana nguv mbele yao!!
 
Uzalendo usipokuingizia pesa huo ni sawa na upuuzi tu. Fursa zote wanawapa watoto wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…