TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Kawe huku kuna tamasha la wazi la mabondia nalo ni kampeni tupuWanajamvi
Nauliza iwapo kampeni zimeanza, maana ninachokiona kwa CCM ni kama wameanza mapema mno bila vyama vingine kushtukia
Mifano na viashiria ni vingi lakini leo nitazungumzia ziara ya kufunga mbio za Mwenge Manyara zilivyoombatana na wasanii wa ‘Mama ongea na Mwanao’.
Hii imekaaje?
Unyama wanaoufanya kwa wananchi wanaujua ndio maana wanapita kujisafisha ingawa hawawezi kufanikiwa kabisa kwa sasa.Wanajamvi
Nauliza iwapo kampeni zimeanza, maana ninachokiona kwa CCM ni kama wameanza mapema mno bila vyama vingine kushtukia
Mifano na viashiria ni vingi lakini leo nitazungumzia ziara ya kufunga mbio za Mwenge Manyara zilivyoombatana na wasanii wa ‘Mama ongea na Mwanao’.
Hii imekaaje?
Mbona mama alipoingia madarakani na kampeni ndipo ilipoanzia kwa kuweka mabango nchi nzima.Wanajamvi
Nauliza iwapo kampeni zimeanza, maana ninachokiona kwa CCM ni kama wameanza mapema mno bila vyama vingine kushtukia
Mifano na viashiria ni vingi lakini leo nitazungumzia ziara ya kufunga mbio za Mwenge Manyara zilivyoombatana na wasanii wa ‘Mama ongea na Mwanao’.
Hii imekaaje?
Uwoga wako tu huo, CCM wanakaguwa ahadi zao kwa wanachi. Watazunguka nchi nzima.Wanajamvi
Nauliza iwapo kampeni zimeanza, maana ninachokiona kwa CCM ni kama wameanza mapema mno bila vyama vingine kushtukia
Mifano na viashiria ni vingi lakini leo nitazungumzia ziara ya kufunga mbio za Mwenge Manyara zilivyoombatana na wasanii wa ‘Mama ongea na Mwanao’.
Hii imekaaje?
Wanafanya kampeni kwa staili mbalimbali hata milioni tano za goli kwa simba na yanga ni sehem ya kampeni ,wanamuuza kwa sbb wanajua hakubaliki ,mbinu ni nyingi sn na usitarajie uchaguzi kuwa huru na wa hakiUwoga wako tu huo, CCM wanakaguwa ahadi zao kwa wanachi. Watazunguka nchi nzima.
Kampeni bado sana.