Zanzibar 2020 Je, CCM wameshajua Mwinyi atashinda? Wametengeneza nguo za kumpongeza

Zanzibar 2020 Je, CCM wameshajua Mwinyi atashinda? Wametengeneza nguo za kumpongeza

Salaam wakuu,

Nmeshangaa kuona CCM Wakimpongeza mgombea Urais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi.

Je, wamejuaje atashinda?

Uchaguzi wa Tanzania ni kiini macho
Tafuta hotuba ya rais mstaafu JK ya leo kule unguja ndiyo utajua rais ajaye wa Zanzibar
 
Ngoja tuone ZEC watachukua uamuzi gani maana 2015 walifuta uchaguzi sababu Maalim Seif alianza kujipongeza kabla.
Orodha ya watakaofikishwa mahakama ya kimataifa ICC itakuwa ndefu sana. Uchaguzi huu utaweka historia Tanzania
 
IMG_20201024_195335.jpg
IMG_20201024_192100.jpg
IMG_20201024_192045.jpg
IMG_20201024_183137.jpg
IMG_20201024_183103.jpg
IMG_20201024_182440.jpg
IMG_20201024_070637.jpg
IMG_20201023_124952.jpg
IMG_20201023_124946.jpg
IMG_20201023_124941.jpg
Screenshot_20201010-141123.png
 
Ngoja tuone ZEC watachukua uamuzi gani maana 2015 walifuta uchaguzi sababu Maalim Seif alianza kujipongeza kabla.

Kwa kuwa hayo maandishi hayana tarehe na hawajaandika kitu kama “hongera Dr. Mwinyi kwa kushinda kiti cha Urais”, CCM watasema hii ni mabaki ya Tshirts walizotoa baada ya chama kumpitisha kugombea.

Then ZEC hawatakuwa na la kufanya
 
Kwa kuwa hayo maandishi hayana tarehe na hawajaandika kitu kama “hongera Dr. Mwinyi kwa kushinda kiti cha Urais”, CCM watasema hii ni mabaki ya Tshirts walizotoa baada ya chama kumpitisha kugombea.

Then ZEC hawatakuwa na la kufanya
Okay
 
Sawa bwana.
 
Kwa wanajeshi walivyo wengi uko lazima atangazwe
 
Umeshapigwa " SHIKWAMBI"

Kila siku tunawaeleza hamuelewi ccm itashinda iwe mvua au jua

Tumefanya siasa safi na bora nyumba kwa nyumba PLUS mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi

Laughing and I make loud noise ccm oyeeeeView attachment 1611507

Halafu wewe umenifanya nicheke kama jinga
Karibu mkuu 🍻🍹🥂🍸
 
Back
Top Bottom