cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Mpaka Oct 28 utakuwa umelitaja jina la Lissu mara billion+
Usipokuwa makini utaachika kwa kumuota Tundu!
Umeambiwa kuwa '''Mabalabala ,madawa yenu ya Ukimwi yana letwa na hao hao mabeberu'''.
We mkimbizi vepee
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lissu anatafuta ongezeko la dau.. kutoka kwa mabeberu wanaotaka kufisadi ya nchi yetu.. afanye yote.. wakili muoga wa mahakama.. kufika kujibu kesi zinazomusubiri.. uwongo wa kutotokea.. eti yupo ndani siku 14.. yajayo muwe tayari kulia.. yeye anafanya kazi kupata pesa zaidi.. wameone anawasaidia..
Hatutaki vibaraka nchini hapa.. lissu hana sifa za kuongoza..
Magufuli 2020 [emoji817]
π π π π π π π
Lissu anatafuta ongezeko la dau.. kutoka kwa mabeberu wanaotaka kufisadi ya nchi yetu.. afanye yote.. wakili muoga wa mahakama.. kufika kujibu kesi zinazomusubiri.. uwongo wa kutotokea.. eti yupo ndani siku 14.. yajayo muwe tayari kulia.. yeye anafanya kazi kupata pesa zaidi.. wameone anawasaidia..
Hatutaki vibaraka nchini hapa.. lissu hana sifa za kuongoza..
Magufuli 2020 π―
Ukitoa mabeberu hali taifa halipo acha kuamin maneno ya wanasiasa kwamba nchi inaongozwa na pesa za ndani
π π π
Maendeleo muhimu sana.. na tuyakuona kila wakati wa awamu ya Rais JEMBE la Tanzania..
Magufuli 2020 π―
Pole sana mkuuUnamjua Robert Amsterdam? Asipoe guliwa hapatatosha,
Hapo ndipo sehemu ambayo ni ngumu zaidi kufanyika bila kuwa na sauti kubwa.Hii ndiyo maana inatakiwa tume huru ya uchaguzi. Siyo tume inayoteuliwa na mmoja wa wagombea.
Wapi tume muandarated Tundu Lisu ?Tabia ya kumua underated Lisu itawagharimu pakubw
Kila kitu kina muda wake,muda mwingine huwa hausubiriwi utumie,bali unafanyiwa kazi ili utimie.Mwaka huu atakimbia
Yote yatakuwa yamesababishwa na utawala wenu hivyo tusimlaumu Lissu wala madume ya mbuzi hapa.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lissu anatafuta ongezeko la dau.. kutoka kwa mabeberu wanaotaka kufisadi ya nchi yetu.. afanye yote.. wakili muoga wa mahakama.. kufika kujibu kesi zinazomusubiri.. uwongo wa kutotokea.. eti yupo ndani siku 14.. yajayo muwe tayari kulia.. yeye anafanya kazi kupata pesa zaidi.. wameone anawasaidia..
Hatutaki vibaraka nchini hapa.. lissu hana sifa za kuongoza..
Magufuli 2020 [emoji817]
Hawa wenzetu ni wa kuwaonea huruma sana, wanatia huruma kiukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa unaamini Magufuli ataenguliwa kwenye uchaguzi?
Sana kwa kweli, sasa wanasubiri waje waseme waliibiwa kuraππHawa wenzetu ni wa kuwaonea huruma sana, wanatia huruma kiukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sidhani kama wewe ni mwanamke kama unavyojinadi hapa. Wanawake kwa heshima ya mama zetu huwa wanaongea kwa kuchuja maneno na kufikiri kwanza.Sana kwa kweli, sasa wanasubiri waje waseme waliibiwa kura[emoji16][emoji16]
Bila shaka uliisikia taarifa ya Tume jana ikimtangaza Profesa Nguli Kabudi.Kuna kila dalili kuwa this time hakuna anayetaka ujinga, NEC imewaonya Media kuwa hakuna Mbunge aliyepita bila kupingwa, maana yake ni kwamba zile mbwembwe za CCM za kujitangazia ushindi wa mezani zimeyeyuka, nitaattach barua ya NEC
Pili, Mgombea wa CCM kiti cha Urais amewekewa pingamizi na nafasi ya kushinda pingamizi hili ni ndogo sana!
Kama NEC wataendelea na msimamo wao ina maana mgombea wa CCM ataenguliwa rasmi.
Je CCM watakubali kushindwa? Hadi sasa kumbuka wameshapoteza hao wabunge waliosema wamepita bila kupingwa....
"Uchaguzi wa 2020 utakua rahisi sana" CCM hao
Hivi unavyoona mwenendo wa uchaguzi uko sawa?
Kwahio?Bila shaka uliisikia taarifa ya Tume jana ikimtangaza Profesa Nguli Kabudi.