figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Waliambia Kwa Nia njema na uzalendo uliotukuka,wakiwamaliza waliowaita wapinzani,kiuhalisia ni wenye mawazo ya kujenga na kulitakua taifa yaliyo mema,kuwa wangeanza kutafuna wao Kwa wao na Sasa yanaelekea kutimia.japo Kwa wakati ule wengine walidharau na kuishia kukenua meno TU,Sasa waache wayaone wenyewe ikiwa ni pamoja Naya umoja party😜Salaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Kulifuta Bunge na kufunguwa Ukurasa Mpyaa wa Uchaguzi HURU na wenye HAKISalaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Tanzania ina watu wengi wenye akili sana..wengi tu. Sio lazima hao iliowataja wawepo kuongoza...Salaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Hakina loloteSalaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Salaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Salaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
CCM vs ccm pambaneni na hali zenu sisi wananchi hayatuhusuSalaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Chuki binafsi kwa January hazitamaliza matatizo yakoTunaamini katika nguvu ya umoja, fikira chanya na maendeleo yanayonekana kwa macho, siyo ya kwenye makaratasi na mipango miiingi kama ya January makamba na isiyo na tija,!
A wordWaliambia Kwa Nia njema na uzalendo uliotukuka,wakiwamaliza waliowaita wapinzani,kiuhalisia ni wenye mawazo ya kujenga na kulitakua taifa yaliyo mema,kuwa wangeanza kutafuna wao Kwa wao na Sasa yanaelekea kutimia.japo Kwa wakati ule wengine walidharau na kuishia kukenua meno TU,Sasa waache wayaone wenyewe ikiwa ni pamoja Naya umoja party😜
Alafu Unaweza kukuta mtoa nada ni graduateKwamba Rais anazidiwa mamlaka na Chama kisichokuwa na usajili wowote!!?
Kinaitwaje?Hakuna chama kinachoitwa umoja Party
Ni genge la wahuni tu.Kinaitwaje?