Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Naomba kujua kama hospitali au pharmacy binafsi inaweza ikaruhusiwa kuingiza chanjo ya corona au Covid19 au ni swala lisilo hitaji kibali.
Je, kuna uhitaji wa kibali maalum ili kuingiza chanjo hiyo hapa nchini, maana ni dawa kama dawa zingine au chanjo kama chanjo zingine.
Ni sheria ipi inapiga marufuku uingizwaji wa chanjo kama ipo tusaidie kuijua na vifungu vyake.
Je, kuna uhitaji wa kibali maalum ili kuingiza chanjo hiyo hapa nchini, maana ni dawa kama dawa zingine au chanjo kama chanjo zingine.
Ni sheria ipi inapiga marufuku uingizwaji wa chanjo kama ipo tusaidie kuijua na vifungu vyake.