Je, chawa wamepungua kwa sababu ya kuimarika kwa usafi?

Je, chawa wamepungua kwa sababu ya kuimarika kwa usafi?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nazungumzia mdudu chawa anayependa uchafu siku hizi wamepungua sana ni nadra kukuta mtu ana chawa kichwani hata mimi nauhakika sijamuona chawa kwenye nguo tangu takriban miaka mitano.

Labda kunguni kidogo mashuleni nasikia bado wapo wapo na viroboto wamebaki kwenye mifugo..

Kupungua kwa chawa kutakuwa kumesababishwa na hali ya uchumi kuimarika na watu kuwa na uwezo wa kununua sabuni na upatikanaji wa maji
 
Nazungumzia mdudu chawa anayependa uchafu siku hizi wamepungua sana ni nadra kukuta mtu ana chawa kichwani hata mimi nauhakika sijamuona chawa kwenye nguo tangu takriban miaka mitano..
Labda kunguni kidogo mashuleni nasikia bado wapo wapo na viroboto wamebaki kwenye mifugo..

Kupungua kwa chawa kutakuwa kumesababishwa na hali ya uchumi kuimarika na watu kuwa na uwezo wa kununua sabuni na upatikanaji wa maji.


Nimekuja mbio nikidhani kina Tulaatulaah, Lukasi na wenzao wamepata maono mapya ..!

Kumbe ukimaanisha chawa wadudu?
 
Nazungumzia mdudu chawa anayependa uchafu siku hizi wamepungua sana ni nadra kukuta mtu ana chawa kichwani hata mimi nauhakika sijamuona chawa kwenye nguo tangu takriban miaka mitano..
Labda kunguni kidogo mashuleni nasikia bado wapo wapo na viroboto wamebaki kwenye mifugo..

Kupungua kwa chawa kutakuwa kumesababishwa na hali ya uchumi kuimarika na watu kuwa na uwezo wa kununua sabuni na upatikanaji wa maji.
Machawa walisha badili majina na mfumo wa kunyoonya damu, wengine wanajulikana kwa majina kama Lucas mwashamba, John nk.....kwahiyo bado wapo kwa mfumo mgine.
 
Nazungumzia mdudu chawa anayependa uchafu siku hizi wamepungua sana ni nadra kukuta mtu ana chawa kichwani hata mimi nauhakika sijamuona chawa kwenye nguo tangu takriban miaka mitano.

Labda kunguni kidogo mashuleni nasikia bado wapo wapo na viroboto wamebaki kwenye mifugo..

Kupungua kwa chawa kutakuwa kumesababishwa na hali ya uchumi kuimarika na watu kuwa na uwezo wa kununua sabuni na upatikanaji wa maji
Cha kushangaza sasa,
Nyumbu ndiyo wameanza kutoka hifadhini porini, na kuingia uraiani kwenye makazi na mashamba ya watu na kuvuruga amani na utulivu wa wananchi huku wakichochea vurugu na taharuki miongoni mwa jamii 🐒
 
Nazungumzia mdudu chawa anayependa uchafu siku hizi wamepungua sana ni nadra kukuta mtu ana chawa kichwani hata mimi nauhakika sijamuona chawa kwenye nguo tangu takriban miaka mitano.

Labda kunguni kidogo mashuleni nasikia bado wapo wapo na viroboto wamebaki kwenye mifugo..

Kupungua kwa chawa kutakuwa kumesababishwa na hali ya uchumi kuimarika na watu kuwa na uwezo wa kununua sabuni na upatikanaji wa maji
Nina hamu ya kuwaona hawa wadudu kwa macho yangu naked eyes chawa akiwa mmoja wao. Yani natamani kumuona kunguni, nzi, kirobot, mbu na mende. Siyo kuwaona tu hata kung'atwa nao.

Nyau de adriz
 
Nazungumzia mdudu chawa anayependa uchafu siku hizi wamepungua sana ni nadra kukuta mtu ana chawa kichwani hata mimi nauhakika sijamuona chawa kwenye nguo tangu takriban miaka mitano.

Labda kunguni kidogo mashuleni nasikia bado wapo wapo na viroboto wamebaki kwenye mifugo..

Kupungua kwa chawa kutakuwa kumesababishwa na hali ya uchumi kuimarika na watu kuwa na uwezo wa kununua sabuni na upatikanaji wa maji
Chawa wa Zamani walikuwa ni wadudu, siku hizi wame undergo evolution, kama Ile ya masokwe, ndio hawa wanajiita Lucas Mwashambwa, ChawaWaMama, chawa wa mama, MamaSamia2025 na wengine wengi wenye akili za kizombi, yaani hawaamini kwamba wanaweza kujimudu bila kupididiwa
 
Back
Top Bottom