Je, chawa wamepungua kwa sababu ya kuimarika kwa usafi?

Ni
nimekuja mbio mbio nikajua ni wale chawa wa ccm.
 
Cha kushangaza sasa,
Nyumbu ndiyo wameanza kutoka hifadhini porini, na kuingia uraiani kwenye makazi na mashamba ya watu na kuvuruga amani na utulivu wa wananchi huku wakichochea vurugu na taharuki miongoni mwa jamii 🐒
Mhhh,
asilimia 10% ya kuigawia Zanzibar kila mwezi nani alipitisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…