FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Inasemekana Marekani hupuliza kemikali aina ya alluminum,Strontium na Barium hewani kwa kutumia military na civilian aircrafts, je lengo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana Marekani hupuliza kemikali aina ya alluminum,Strontium na Barium hewani kwa kutumia military na civilian aircrafts, je lengo ni nini?
Fanya personal researchSentesi ikianza na maneno inasemekana,eti, yawezekana basi jambo hilo linakua halina ushahidi...
Je ndivyo ilivyo au inasemekana...?
Basi naww mada yako usingeileta hapa ungefanya P.researchFanya personal research
Basi naww mada yako usingeileta hapa ungefanya P.research
This is very dangerous!Hii Chemtrails pamoja na project blueprint ni moja kati ya vitu ambavo vinatumika kubadilisha dunia yetu na kua dunia janja(smart planet) kama wao wanavoiita, ambayo mifumo yote ya kibailojia itakua suppressed au kufa na mingine kua mutated(kubadilishwa kigenetics). Kuna sababu nyingi kwanini wanafanya hivi, moja ya sababu ni kuweza kudhibiti ufahamu wetu kibinadamu.. Ambapo watakua na uwezo wa kutengeneza taswira au mtazamo fulani katika akili yako. Pia hii teknolojia itakua na uwezo wa kucontrol emotional response zako na ata kuregulate mood yako..
Hahaaaa umenifurahisha sana brotherTumia japo 0.1% ya akili yako kufikiri Kabla ya kuandika.
Duuhhh hiyo ni balaaHahaaaa umenifurahisha sana brother
Ipi hiyo ...?Duuhhh hiyo ni balaa
Hahahaa kwann brother?Hahaaaa umenifurahisha sana brother
Eti naww umeamua kunilipizia..Hahahaa kwann brother?
Eti naww umeamua kunilipizia..
Hahaaa
Amina amina barikiwa mkuuHahaaa si unajua katika kufurahishana tu, hakuna lingine mkuu.
Mkuu kuna kitu inabidi uongezee hapa ili kukazia,Nakuwa interest na jinsi ulivyojibu naamini kuna zaidi unajuaHii Chemtrails pamoja na project blueprint ni moja kati ya vitu ambavo vinatumika kubadilisha dunia yetu na kua dunia janja(smart planet) kama wao wanavoiita, ambayo mifumo yote ya kibailojia itakua suppressed au kufa na mingine kua mutated(kubadilishwa kigenetics). Kuna sababu nyingi kwanini wanafanya hivi, moja ya sababu ni kuweza kudhibiti ufahamu wetu kibinadamu.. Ambapo watakua na uwezo wa kutengeneza taswira au mtazamo fulani katika akili yako. Pia hii teknolojia itakua na uwezo wa kucontrol emotional response zako na ata kuregulate mood yako..
Wao wakiwa wapi??Hii Chemtrails pamoja na project blueprint ni moja kati ya vitu ambavo vinatumika kubadilisha dunia yetu na kua dunia janja(smart planet) kama wao wanavoiita, ambayo mifumo yote ya kibailojia itakua suppressed au kufa na mingine kua mutated(kubadilishwa kigenetics). Kuna sababu nyingi kwanini wanafanya hivi, moja ya sababu ni kuweza kudhibiti ufahamu wetu kibinadamu.. Ambapo watakua na uwezo wa kutengeneza taswira au mtazamo fulani katika akili yako. Pia hii teknolojia itakua na uwezo wa kucontrol emotional response zako na ata kuregulate mood yako..
Mbona hii umehadithia series ya kikorea ya SMART EARTH na Norma earth, Bluebird na sidhani kama n blueprintHii Chemtrails pamoja na project blueprint ni moja kati ya vitu ambavo vinatumika kubadilisha dunia yetu na kua dunia janja(smart planet) kama wao wanavoiita, ambayo mifumo yote ya kibailojia itakua suppressed au kufa na mingine kua mutated(kubadilishwa kigenetics). Kuna sababu nyingi kwanini wanafanya hivi, moja ya sababu ni kuweza kudhibiti ufahamu wetu kibinadamu.. Ambapo watakua na uwezo wa kutengeneza taswira au mtazamo fulani katika akili yako. Pia hii teknolojia itakua na uwezo wa kucontrol emotional response zako na ata kuregulate mood yako..
Usijari mkuu, Muumba akitujalia ntafanya hivoMkuu kuna kitu inabidi uongezee hapa ili kukazia,Nakuwa interest na jinsi ulivyojibu naamini kuna zaidi unajua