City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Taasisi ya Kimataifa ya Fedha (IMF) imepata wasiwasi kuwa huenda China ina mkakati wa kutoa mikopo isiyolipika ili wataifishe rasilimali za wadeni wawanao wadai.
_______________________________________
Serikali ya Zambia ipo kwenye mazungumzo na China ili kuangalia uwezekano wa kuwapa Shirika la Umeme la nchi hiyo (ZEWASCO) hii ni baada ya kushindwa kulipa deni kubwa wanalodaiwa na Serikali hiyo.
_______________________________________
China imeonekana kuwa nchi rafiki kwa Mataifa ya bara la Afrika lakini inatabiriwa kuwa siku moja itayazika Mataifa hayo katika dimbwi la madeni makubwa.
Rasilimali za nchi zitakazoshindwa kulipa madeni zitataifishwa na uhuru wa kujiamulia mambo wa nchi utakuwa mashakani.
Millardayo.com