Je choo kilaini ni tatizo kiafya?

Mkuu, choo kigumu nacho ni kitu cha kukitafuta kwa juhudi namna hiyo?

Ili iweje?
 
Digestion was meant to be a smooth system, so is egestion!

Ukiona unatoa magumu jua something is wrong.
Aina ya vyakula ina influence kubwa juu ya hili.

Matunda na juice husaidia sana kulainisha!

Ok thanx
 

Ok
 

Sawa mkuu
 
Mkuu, choo kigumu nacho ni kitu cha kukitafuta kwa juhudi namna hiyo?

Ili iweje?

Mh ndo hapo ninaposhangaa, utakuta unakula vyakula sawa na wengine lakini choo kinakua kilaini tofauti na wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…