Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Yupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.
Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale atakapo hudumu na timu mpya huko Morocco. Na amemhakikishia namba ya kudumu.
Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!
Muda ni Mwalimu.
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.
Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale atakapo hudumu na timu mpya huko Morocco. Na amemhakikishia namba ya kudumu.
Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!
Muda ni Mwalimu.