Je, Clatous Chama kuelekea Far Rabat kwa kishingo?

Je, Clatous Chama kuelekea Far Rabat kwa kishingo?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Yupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?

Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.

Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale atakapo hudumu na timu mpya huko Morocco. Na amemhakikishia namba ya kudumu.

Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!

Muda ni Mwalimu.
 
Yupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?

Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.

Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale Far Rabat. Na amemhakikishia namba ya kudumu.

Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!

Mda ni Mwalimu.
Shughulikia tatizo la kuchanganya R na L
 
Yupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?

Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.

Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale Far Rabat. Na amemhakikishia namba ya kudumu.

Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!

Muda ni Mwalimu.
Kishingo hayupo Far Rabat
ni vizuri zaidi kufanya uchunguzi kabla ujaleta uzi wako hapa
 
Chama sio mungu wa Simba Sc, Simba Sc ni timu kubwa walikuwepo wengi, wapo wengi, na watapita wengi...

Chama aondoke au abaki, bado Simba ni Simba tu, kuna mechi zake alikuwa anapatia, na nyingine alizingua...

Hao waarabu kama wana mahela waje hata sasa tufanye biashara..
 
Chama sio mungu wa Simba Sc, Simba Sc ni timu kubwa walikuwepo wengi, wapo wengi, na watapita wengi...

Chama aondoke au abaki, bado Simba ni Simba tu, kuna mechi zake alikuwa anapatia, na nyingine alizingua...

Hao waarabu kama wana mahela waje hata sasa tufanye biashara..
Acha unafiki, kama chama sio Mungu wa simba kwanini ile game amefanyiwa sub kipindi cha kwanza mlijaa povu hadi mkataka kumfukuza kocha?
 
Mi naona ni bora angeondoka ,kwa sababu kwanza haendani na mifumo ya kocha ,pili ashakua kirusi ndani ya krabu
 
Wao mbumbumbu wanasemaga hakuna simba bila chama
 
Back
Top Bottom