Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Shughulikia tatizo la kuchanganya R na LYupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.
Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale Far Rabat. Na amemhakikishia namba ya kudumu.
Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!
Mda ni Mwalimu.
Mwalimu bingwa hakosoi kwa mabano bali huonyesha lilipo kosa na husahihisha hilo kosa.Shughulikia tatizo la kuchanganya R na L
Uzuri wa simba huwa hatung’ang’anii wachezaji dau likifikia tunauza tu hatubembelezi cio kama bin kabwili
Kishingo hayupo Far RabatYupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.
Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale Far Rabat. Na amemhakikishia namba ya kudumu.
Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!
Muda ni Mwalimu.
Wydad CasablancaYupo wapi?
Acha unafiki, kama chama sio Mungu wa simba kwanini ile game amefanyiwa sub kipindi cha kwanza mlijaa povu hadi mkataka kumfukuza kocha?Chama sio mungu wa Simba Sc, Simba Sc ni timu kubwa walikuwepo wengi, wapo wengi, na watapita wengi...
Chama aondoke au abaki, bado Simba ni Simba tu, kuna mechi zake alikuwa anapatia, na nyingine alizingua...
Hao waarabu kama wana mahela waje hata sasa tufanye biashara..
Alishaondoka hapo tokea juzi mzee.Wydad Casablanca
Ni kweli na haitakuwa mara ya kwanza kwakeUzuri wa simba huwa hatung’ang’anii wachezaji dau likifikia tunauza tu hatubembelezi cio kama bin kabwili
keshaondoka yupo Algeria, jamaa kaumbuka na story yake ya kutungaWydad Casablanca