Labda AzamYupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.
Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale atakapo hudumu na timu mpya huko Morocco. Na amemhakikishia namba ya kudumu.
Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!
Muda ni Mwalimu.
Mnamuuzaje na ikiwa ashamaliza mkataba na makolo,subirini maumivu makali mnoUzuri wa simba huwa hatung’ang’anii wachezaji dau likifikia tunauza tu hatubembelezi cio kama bin kabwili
Soma hiyo hapoKishingo (Sven) amepata kazi Belouzdad siyo huko unakosema. Alishatoka ASFA akaenda Asia na kurudi Wydad ambako mkataba wake umetamatika. Wachezaji wa Simba waliosafiri na timu ni 17 tu. Wengine wataondoka kesho au keshokutwa wakiwemo Baleke, Che Malon, Chama, Onana, Kipa (Caique), Ngoma na wengine
Aende tu hatuna deni nayeYupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya Turkey.
Duru ndani ya Klabu yake zinatabanaisha, jamaa kapata offer ya haja kutoka kwa swahiba wake coach Kishingo pale atakapo hudumu na timu mpya huko Morocco. Na amemhakikishia namba ya kudumu.
Nahofia, hali ya hewa huenda ikabadirika ghafla pale Msimbazi na kuwa yenye mawimbi mengi!
Muda ni Mwalimu.