Je condom husababisha madhara?

Solarpanel

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
235
Reaction score
38
Habari,mwenzenu mimi hutumia mpira mara kwa mara kwasababu situmii njia zingine za uzazi wa mpango.sasa kama wiki mbili zilizopita nilipata uti,wakati nimeitibu,tulikutana na mume wangu kimwili na alitumia condom,lakn cha kushangaza kesho yake nilianza kuwashwa sana na kukawa kumevimba.je nini kimesababisha?condom tulitumia salama stud,lakin ktk paket moja wako hazikwa stud japo nje waliandika ni aina ya stud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…