Je, condom ina madhara kwa mwanamke?

Chemiker

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
506
Reaction score
108
Wasalaam,

Nimekuwa nikijaribu kujiuliza maswali mengi kuhusiana na ''condom'' za kiume hasa yale mafuta yake. Kwa ufahamu wangu mdogo ikulu ya kina mama/ dada huwa na Ph yake, na yale mafuta ya kwenye 'condom' huwa na ' alkalinity' hivyo wakati wa tendo hutokea mvurugiko wa Ph kwenye ikulu.

Je, matumizi ya condom kwenye lile tendo takatifu/tukufu halisababishi magonjwa kwenye ikulu za kina mama/dada kama ''vaginatis'' ?
 
Yamkini twahitaji kujifunza kwa kweli. Wale mnaofanya field kwa mkemia mkuu tafadhali mwageni data hapa with vivid examples

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yapo,mojawapo ni mzio(allergy)mwenyewe ninayo katika baadhi ya condoms.
 
Yap, Uligunduaje ?
Ilikua masaa kadhaa after kuitumia maumbile yanawasha na kututumka vibaya!mwanzo nilihisi fungus,baada ya kulifuatilia kwa kina ndipo nkajagundua nina allergy nkafuatilia zaidi ndipo nkajua zipi hasa zisizonifaa.
 
Ilikua masaa kadhaa after kuitumia maumbile yanawasha na kututumka vibaya!mwanzo nilihisi fungus,baada ya kulifuatilia kwa kina ndipo nkajagundua nina allergy nkafuatilia zaidi ndipo nkajua zipi hasa zisizonifaa.

ukagundua zipi hazifai? any brand names?
 
I like the way Tabrett responds, very clear and signifies her value to this forum where many tends to learn.
 
Last edited by a moderator:
Bareback and salama both are latex condoms. Inawezekana ni mentallity tu, lakini kuna iwezekano kuwa salama ulizokutana nazo zimekuwa mishandled (condoms hazipaswi kukutana na direct sunlight na joto)
All in all ni muhimu kwa kinga na ni busara kutafuta ile ambayo unakuwa comfortable nayo kutumia.
Salama ni mojawapo ya ambazo hazinifai,bareback ndo nazotumia kwa sasa na hazijaniletea tatizo lolote.
 
Zote nimewahi kuzitumia katika mazingira ya halijoto ya aina moja,kama ni case ya kuwa mishandled nadhani hata hizo bareback nazo mwili ungereact
 
Maelezo yaliyotolewa yanajitosheleza
 
Ulisahau kuweka neno pole kabla ya kicheko au baada ya kicheko?

samahani samahani samahani...mwe! siku zingine huwa naamka na mizaha kichwani. leo ni siku kama hiyo. nilifanya mzaha kwa bahati mbaya tu hapa. nakubali umeleta tatizo kutafuta solution hapa. samahani sikulipatia uzito unaostahili. umenisamehe?...au?
 
Like i said, muhimu ni kupata product ambayo uko comfortable. Kama hiyo bareback inakufaa its well and good. Hongera kwa kuwa responsible, dont take yourself for granted coz not everyone is.
Cheerz!
Zote nimewahi kuzitumia katika mazingira ya halijoto ya aina moja,kama ni case ya kuwa mishandled nadhani hata hizo bareback nazo mwili ungereact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…