#COVID19 Je, Corona phase II imeisha Tanzania?

#COVID19 Je, Corona phase II imeisha Tanzania?

kunta93

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
754
Reaction score
1,512
👉 Upinzani wa mtandaoni (keyboard opposion) ukiongozwa na Kigogo, Maria Sarungi na fatuma karume ulilipigia sana kelele ila sasa hawalizungumzii kabisa licha ya serikali kutokubadilisha msimamamo wake juu ya janga hili

👉 Viongozi mbalimbali wameondoka katika kipindi cha hivi karibuni huku wakihusishwa na janga hili kua ndo chanzo cha vifo vyao ila kwasasa hatujaskia msiba wa kiongozi yoyote. (Siombei viongozi wetu waondoke ila nashangaa tu)

👉 Hakuna tena kelele za nyungu why?

👉 Mchambuzi wa maswala ya kiintelijensia na siasa huko nchini Uganda anaeitwa Tamaale Mirundi anasema kuna Corona za aina Mbili siku hizi.

👉 Kuna corona hii ya covid 19 ilioanzia China na kutapakaa dunia nzima.

👉 Na kuna corona inayoitwa "giza linamuwindisha chui" na anasema hii corona ya pili inapiga sana africa imeshapiga hata Burundi mwaka jana.

👉 Tusubiri tume ya mama itakuja na muelekeo gani.
 
Na mbaya zaidi mapadre bado wanaendelea kuanguka.

Ni jambo la aibu sana mwanamke kuwa malaya.
 
Hakuna covid 19 wala corona isipokuwa kutishwa na hofu tu.

Toka nilipoona mama akimtembelea na hata kumshika mkono/begani mjane, black&co kuonekana msibani nikabaini hata jiwe lilidondoka lenyewe tu mithiri ya embe toka mtini kwa mapenzi yake Allah na covid 19 kama ilivyobashiriwa na Jamhuri ya Bando.

Hiyo phase 3 haipo tuendelee kuchapa kazi.

"Hata hivyo Mafua ipo ila tahadhari tuendelee kuchukua"
 
Corona imepungua sana au tuseme inaishia ila hatua zisipochukuliwa mwakani wave 3 inakuja tena. Hapa suala ambalo halikwepeki ni chanjo na ndio maana ya yale maneno ya Mama Samia kuwa ataunda wataalamu hii ni njia ya kuonesha hatumkani marehemu ila hatuwezi kuwa kisiwa majibu yanajulikana chanjo ni lazima na zitaletwa nchini na watu watachoma vinginevyo matokeo tutatengwa vibaya sana.

Sababu kuu ni kwamba corona haitaisha kila mwaka itakuja ila chanjo itafanya corona kuwa kama mafua ya kawaida tu sio issue tena. kwa waislamu itakuwa shida zaidi maana kwenda kuhiji au umra kama hujapata chanjo hakuna nafasi na hili litapelekea watu kupata chanjo.
 
Ule msongamano wa watu wakati wa kuaga mwili wa Hayati JPM nilisubiri mlipuko mkubwa (kwa wenzetu ukijari kujichanganya kwenye msongamano jihesabu upo ICU) kinyume chake hadi leo hali ni ya kawaida, mahospitalini (angalau nina taarifa kila siku za Mwananyamala, Muhimbili, Nyamagana hospitals) huko kote wagonjwa wa shida ya kupumua ni wale wale wa siku zote. Hivi kweli Afrika tuna covid-19 au tunaigiza?
 
Corona imepungua sana au tuseme inaishia ila hatua zisipochukuliwa mwakani wave 3 inakuja tena. Hapa suala ambalo halikwepeki ni chanjo na ndio maana ya yale maneno ya Mama Samia kuwa ataunda wataalamu hii ni njia ya kuonesha hatumkani marehemu ila hatuwezi kuwa kisiwa majibu yanajulikana chanjo ni lazima na zitaletwa nchini na watu watachoma vinginevyo matokeo tutatengwa vibaya sana. sababu kuu ni kwamba corona haitaisha kila mwaka itakuja ila chanjo itafanya corona kuwa kama mafua ya kawaida tu sio issue tena. kwa waislamu itakuwa shida zaidi maana kwenda kuhiji au umra kama hujapata chanjo hakuna nafasi na hili litapelekea watu kupata chanjo.
Corona imepungua sana au tuseme inaishia ila hatua zisipochukuliwa mwakani wave 3 inakuja tena. Hapa suala ambalo halikwepeki ni chanjo na ndio maana ya yale maneno ya Mama Samia kuwa ataunda wataalamu hii ni njia ya kuonesha hatumkani marehemu ila hatuwezi kuwa kisiwa majibu yanajulikana chanjo ni lazima na zitaletwa nchini na watu watachoma vinginevyo matokeo tutatengwa vibaya sana. sababu kuu ni kwamba corona haitaisha kila mwaka itakuja ila chanjo itafanya corona kuwa kama mafua ya kawaida tu sio issue tena. kwa waislamu itakuwa shida zaidi maana kwenda kuhiji au umra kama hujapata chanjo hakuna nafasi na hili litapelekea watu kupata chanjo.
 
Corona imepungua sana au tuseme inaishia ila hatua zisipochukuliwa mwakani wave 3 inakuja tena. Hapa suala ambalo halikwepeki ni chanjo na ndio maana ya yale maneno ya Mama Samia kuwa ataunda wataalamu hii ni njia ya kuonesha hatumkani marehemu ila hatuwezi kuwa kisiwa majibu yanajulikana chanjo ni lazima na zitaletwa nchini na watu watachoma vinginevyo matokeo tutatengwa vibaya sana. sababu kuu ni kwamba corona haitaisha kila mwaka itakuja ila chanjo itafanya corona kuwa kama mafua ya kawaida tu sio issue tena. kwa waislamu itakuwa shida zaidi maana kwenda kuhiji au umra kama hujapata chanjo hakuna nafasi na hili litapelekea watu kupata chanjo.
Huu ugonjwa huwa ni kama upepo fulani hivi. Sasa hivi zile ambulances zilizokua busy mitaani hakuna,misiba mitaani na ya watu maarufu imepungua sana hata hofu nayo imeshuka tofauti na hali ilivyokua mwezi March.

Kwa Tz Mungu tu bado anatulinda wala sioni anaechukuaga tahadhari hapa tunakwenda tu kama mbuzi.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Corona ni ugonjwa wa msimu unaanza mwezi wa kumi na moja na unaisha mwezi wa nne, na hii itakuwa hivi kila mwaka na tutaishi na huu ugonjwa miaka yote kama yalivyo mafua.
 
Huu ugonjwa huwa ni kama upepo fulani hivi. Sasa hivi zile ambulances zilizokua busy mitaani hakuna,misiba mitaani na ya watu maarufu imepungua sana hata hofu nayo imeshuka tofauti na hali ilivyokua mwezi March.

Kwa Tz Mungu tu bado anatulinda wala sioni anaechukuaga tahadhari hapa tunakwenda tu kama mbuzi.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unajuwa sisi mazingira ya maisha yetu ya kila siku yanasaidia miili yetu kukabiliana na huu ugonjwa na ndio maana wengi uliowachukuwa vibaya ni watu wazima au wale watu wasiojichanganya sana katika jamii lakini huwezi kusikia sokoni kuna mtu kaondoka na corona sababu mazingira yenyewe ya masokoni kama corona na Tanzania vijana wengi.

Kungekuwa na test zinafanywa mitaani kwa kila mtu na uhakika katika kila 10 watano corona na mtu angeambiwa una corona angetukana we mjinga nini mimi siumwi kitu sababu kupata corona sio lazima kuumwa ndio maana unatakiwa ukae 14 days. wenzetu ile lifestyle yao I need space ndio maana ikiwapata tu hoi halfu tukumbuke wenzetu mafua ya kawaida tu kila mwaka wanakufa sana tu sisi hatufi namafua hata yamwagike kama maji wala dawa hatunywi.
 
Corona na ukimwi ni magonjwa kwa ajili ya watu wajinga duniani

Na mtu yoyote atakayejitokeza hadharani kuyapinga hayo lazima auliwe kwa mbinu yoyote

Aids and Corona are the two most biggest medical blunders of the century
 
Corona ni ugonjwa wa msimu unaanza mwezi wa kumi na moja na unaisha mwezi wa nne, na hii itakuwa hivi kila mwaka na tutaishi na huu ugonjwa miaka yote kama yalivyo mafua.
Space X ikikamilika tunakua tunaenda mars mwezi wa 11 tunarudi may mosi, Christmas inatukuta mars tunashehelekea na aliens
 
[emoji117]Upinzani wa mtandaoni (keyboard opposion) ukiongozwa na kigogo,maria sarungi na fatuma karume ulilipigia sana kelele ila sasa hawalizungumzii kabisa licha ya serikali kutokubadilisha msimamamo wake juu ya janga hili

[emoji117]Viongozi mbalimbali wameondoka katika kipindi cha hivi karibuni huku wakihusishwa na janga hili kua ndo chanzo cha vifo vyao ila kwasasa hatujaskia msiba wa kiongozi yoyote. (Siombei viongozi wetu waondoke ila nashangaa tu)

[emoji117]Hakuna tena kelele za nyungu why?

[emoji117]Mchambuzi wa maswala ya kiintelijensia na siasa huko nchini Uganda anaeitwa Tamaale Mirundi anasema kuna Corona za aina Mbili siku hizi.

[emoji117]Kuna corona hii ya covid 19 ilioanzia China na kutapakaa dunia nzima.

[emoji117]Na kuna corona inayoitwa "giza linamuwindisha chui" na anasema hii corona ya pili inapiga sana africa imeshapiga hata Burundi mwaka jana.

[emoji117]Tusubiri tume ya mama itakuja na muelekeo gani.
Imepunzika baada ya kufanya kazi nzuri sana tarehe kumi na saba mwezi machi mwaka huuu !!! Hakuna ashukuriwe aliye juuu
 
Back
Top Bottom