#COVID19 Je, Corona phase II imeisha Tanzania?

... waulize Hospitali ya Rufaa Muhimbili ule mtambo wao wa nyungu baada ya 17.03 wamepata wateja wangapi? Ukipata jibu tushtue.
 
magufuli amesema ameyatoa maisha yake sadaka Kwa ajili yetu
... ni mmoja tu aliyeyatoa maisha yake kwa ajili yetu (wanadamu); huyo sio mwingine ila Yesu Kristo wa Nazareth na ndiye peke yake damu yake iokoayo. Mwingine yeyote akikuambia anayatoa maisha yake kwa ajili yako ni tapeli huyo! Maisha sijui damu yake ina nguvu gani ya kuzishinda nguvu na hila za Shetani? Ina utakatifu gani? Utapeli wa kutupwa! Maisha na damu isiyo na mawaa ni ya Yesu - alpha na omega!
 
Vipi kwani UKIMWI umeisha? Maana hatusikii watu wakidedi kwa ukimwi
 
Itakuwa walikubaliana na mungu.ili sisi tupone INATAKIWA yeye afe
 
Ndio ushangae sasa, alipoondoka tu JPM, na Corona ikaisha hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…