Poa,ngoja tusubiriNa mimi nasubiri majibu
Sent using kidole gumba
Asante mkuu, nimepata mwongozo
- Ufunge mkanda au usifunge, inapotokea ajali, airbag lazima ifunguke.
- Airbag itafunguka hata kama aliyekaa seat ya pembeni kwa dereva hakufunga mkanda.
- Ukipata ajali ukiwa kwenye speed ya kuanzia 25km/hr airbag hufunguka...
- Utahitaji kununua airbag nyingine, ile itakua haifai na huwezi kuirudishia ile ile...
Cc: mahondaw
Asante kwa maelezo mazuri,kwanini mwenye uzito wa kg 60 akipata ajali at 50km anakuwa salama kuliko mwenye uzito zaidi?
Pia kwanini kama hukufunga mkanda airbag ikifungua unaweza kuumia zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteKatika maelezo yangu nimegusia kuhusu momentum kwamba inapotokea ajali huyo dereva au abiria anatakiwa kuwa kwenye momentum Isiyozidi 300KgKm/h. Mometum ni product ya speed na Mass ya kitu. Sasakama mtu akiwa na uzito zaidi ya 60kg at 50km/h then momentum yake itakuwa ni above 300 na hivyo itakuwa hatari kwake.
Kuhusu suala la airbag na mkanda. Ukisoma legislation ya seat belt wanakuambia ni mandatory kuvaa seat belt all the time. Pia during ajali, Seat belt ndiyo inayoweza kukuprotect wewe ubaki where you are na pia seat belt inasaidia kudistribute energy ya impact into your body na kuprotect hiyo isikuletee madhara. Hizo kazi haziwezi kufanywa na airbag.
AsanteInatehemea na aina ya gari...mgari yetu haya mengi tunayoendesha model zo 2000 huko airbag itafunguka aidha uwe umefunga mkanda au hujafunga...
Lakini kuna baadhi ya model mkanda unahusianishwa na airbag module.....hivyo ni lazima ufunge mkanda ili ku activate airbag module...
Unaweza kugoogle kujua kama gari lako ni lzima ufunge mkanda ndiyo Airbag ifanye kazi au laa..
Magari hayafanani.