Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wakuu,
Naomba kufahamishwa
1. Je airbag inaweza isifunguke kama dereva hukufunga mkanda wakati ajali inatokea?
2. Je abiria wa mbele nae kama hakufunga mkanda pia airbag haitafunguka?
3. Na Je ni ajali ya kugongana uso kwa uso,na kugonga gari/kitu kizito kwa mbele tu,au hata gari ikigongwa nyuma au upande airbag itafunguka?
4. Je airbag ikifunguka itahitaji kununua mpya au itarudishiwa hiohio?
Asante
Naomba kufahamishwa
1. Je airbag inaweza isifunguke kama dereva hukufunga mkanda wakati ajali inatokea?
2. Je abiria wa mbele nae kama hakufunga mkanda pia airbag haitafunguka?
3. Na Je ni ajali ya kugongana uso kwa uso,na kugonga gari/kitu kizito kwa mbele tu,au hata gari ikigongwa nyuma au upande airbag itafunguka?
4. Je airbag ikifunguka itahitaji kununua mpya au itarudishiwa hiohio?
Asante