Je Diamond akifa Leo hii Kiba atabaki kwenye ubora au atapotea kama Ray kigosi

Tuachane na mambo ya kifo simple tu tuangalie kama Mondi asingekuwepo je kiba angeweza kuamka tena baada ya gemu kumuia gumu na kuamua kusepa?
 
Nini kufa Mond akipumzika music miaka 3 na bila ya scandal Kwisha habari yake...wakati Kiba alikuwepo na ataendelea kuwepo kama Bichuka
 
hivi simba ikifa au yanga ikifika unazani kati ya hawa nani hata potea
 
Hata angekuwa ray ndo katangulia sizani kama kanumba angeendelea kuwa kwny peek ile ile.....so kusema ray alikuwa anatembelea nyota ya kanumba ni kama unajitekenya na kuamua kucheka mwenyewe......kanumba na ray wote walikuwa wanategemeana ndo maana hata ikitokea wameshiriki kwny movie moja hakuna aliyekuwa anamfunika mwenzie, so napinga kusema et ray alikuwa anatembelea nyota ya kanumba halafu jambo jingne mjue kila kitu na wakati wake asa iv mziki afrika ndo unasumbua zaidi kuliko movie.....hata nigeria soko lao la movie limeshuka siyo kama zaman sasa sijui mtasingizia nani kafa kule.....hata kama kanumba angekuwepo leo mda wa bongo movie kufifia ulikuwa ushawadia...
 
hivi simba ikifa au yanga ikifika unazani kati ya hawa nani hata potea
Simba na Yanga ni upinzani wa kweli, ila Kiba na Mond upinzani unalazimishwa. Kwa hyo mfano wako syo hai
 
Tukawaulize wazazi WAP waliwazaa itakuwa vema zaidi mana WAo wanajua uwezo wa watoto WAo kiakili
 
Enzi zile kiba anatoka na Cinderella ulikuwa unamjua dai?!
 
Akili zingine daaahhh????!!!!??!!
Kwa nn husiseme "je D akiacha kujishughulisha na muziki leo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…