CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
😀😀😀😀 Daaaah! Nimecheka sana Aiseeee!!Lete na miguu ya habari sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀 Daaaah! Nimecheka sana Aiseeee!!Lete na miguu ya habari sasa
Kwa jinsi ulivoandika Kichwa cha mada na yaliyomo ndani inaonesha umeandika kwa kutumia uchawi!Watu wanasema eti msanii wa Tanzania "Diamond" anatumia uchawi ndiyo mana mziki wake unakubalika sana barani Africa na nchi za nje.
Je unakubaliana na suala hili?
"Ndiyo" au "Hapana"
[emoji1]Mkuu, hivi vile vitunguu Vilikubali?
[emoji23]una kichaa nini na wewe si ukaloge angalau tue na diamond wawili.........
Daa nikiwaga na mawazo mengi huwa napitia humu. Umenchekesha sana[emoji23] [emoji23]Tangu uingie jf mwezi april unapost upuuzi tu
Wewe umeingia jana tu unaanza na tuhuma za umbea watu gani wanasema? Na kisha una tupigisha kura maprofesa wenye vipara? kha!.Watu wanasema eti msanii wa Tanzania "Diamond" anatumia uchawi ndiyo mana mziki wake unakubalika sana barani Africa na nchi za nje.
Je unakubaliana na suala hili?
"Ndiyo" au "Hapana"
Yanini kisha uyapeleke wapi? anyway kwa msaada tu fika ofisini kwake pale sinza uliza swali hilo kwa mtu anaitwa Mwarabu au (commando kipensi) yule ni muungwana sana na bila shaka atakupa majibu unayo stahili,utuletee na sisi tuna kiu ya kujua matokeo.Sawa lakini nahitaji maoni
Si ange kwenda Handeni kuchungulia kwenye laptop za wazee akajiridhisha.una kichaa nini na wewe si ukaloge angalau tue na diamond wawili.........
Mind your own business, achana na kuingilia maisha ya watu.Watu wanasema eti msanii wa Tanzania "Diamond" anatumia uchawi ndiyo mana mziki wake unakubalika sana barani Africa na nchi za nje.
Je unakubaliana na suala hili?
"Ndiyo" au "Hapana"
Mawazo yetu hatukupi kisha sisi tubaki na nini?Hivyo ndivyo watu wanavyo amini huku kwetu Kenya ndiyo mana nimeuliza hapa ili nipate mawazo yenu pia
Hahahahaha JF no shida.....Mawazo yetu hatukupi kisha sisi tubaki na nini?
kajamaa kajinga sana haka!......kaniudhi kweli badala atafute njia na yeye afanikiwe anaanza kuuliza upuuzi hapa kama vipi na yeye aende kwa mganga!..Si ange kwenda Handeni kuchungulia kwenye laptop za wazee akajiridhisha.
Yanini kisha uyapeleke wapi? anyway kwa msaada tu fika ofisini kwake pale sinza uliza swali hilo kwa mtu anaitwa Mwarabu au (commando kipensi) yule ni muungwana sana na bila shaka atakupa majibu unayo stahili,utuletee na sisi tuna kiu ya kujua matokeo.
Hii mada yako inaboaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,siku ingine usirudie tena kuleta uzi wa kijinga kama huu,tafuta uzi wa maana ndio ulete,huna kuwa mchangiaji tu,umenielewa lakini? enheeee asante kwa kunielewa,byeeWatu wanasema eti msanii wa Tanzania "Diamond" anatumia uchawi ndiyo mana mziki wake unakubalika sana barani Africa na nchi za nje.
Je unakubaliana na suala hili?
"Ndiyo" au "Hapana"