Marlex Jr El
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 1,819
- 2,415
Dah hata mimi nimekuwa najiuliza sana kitu hicho, soon kutaibuka ugomvi wa jokate na poz kwa poz subirini hapa,Cku izi anashinda sn na kiba hadi ucku wa manane wapo pamoja et wanafanya media tour ya kajiandae saa nane ucku
Ali kiba huwa achelewi kumla jicho!!Cku izi anashinda sn na kiba hadi ucku wa manane wapo pamoja et wanafanya media tour ya kajiandae saa nane ucku
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Alipumliwa na tezi dume??ila domo pia niliskiaga alishapumuliwa na tezi dume ila ni mastori tu ya kuchafuana kama yeye anavyomchafua dimpo!sio mshabiki wa hao wote ila sioni ulazima wa ommy kutuonyesha shemeji sababu halazimishwi na sio lazima!kuhusu upunga nahisi ni ngumu kumjua mtu wa hivyo!wengine wana wake na watoto na michepuko lakini wanaukalia ukuni na kuna wengine mabaunsa kabisa yaani shoga mbabe!!!
Mkuu iyo juice ya maziwa ikoje sheikh wangu?Subir ninywe juic ya miwa kwanza... Nitarudi kuchangia baadae
Na nasikia kiba Ana mguu was mtoto, waacha amyor aviAli kiba huwa achelewi kumla jicho!!
sharia ya.kislamu inasemaje na wwe unatafsiri vp mkuu?Diamond anasema yeye muislam safi alafu anazini na kuzaa nje ya ndoa huo ndio usafi wa uislam?!
Wote wawili wanatuzingua.
Ashtakiwe kwa misingi ipi? Kwamba amemtaja kwa jina ama?Kama poz kwa poz apumuliwi Pana haja ya PLANTINUM kushitakiwa kamdharirisha jamaa.
Duu! umeuaKuweka story short Ni kwamba, Ommy Dimpo analilia penzi la Diamond ndio maana majungu. Yaani Hana tofauti na Jokate wote wamekataliwa na Diamond wanaenda kwa Ali Kiba.